Log in
ORGANIZATION FOR LAND AND AGRICULTURE IMPROVEMENT

ORGANIZATION FOR LAND AND AGRICULTURE IMPROVEMENT

Tandahimba Sokoine, Tanzania

Parts of this page are in Swahili. Edit translations
ORGANIZATION FOR LAND AND AGRICULTURE IMPROVEMENT (OLAI) kwa sasa imekuwa mdau mkubwa wa sekta Ardhi kwa kutoa Elimu ya sheria Na. 5 ya ardhi ya vijiji ya mwaka 1999. OLAI akiwa mwanachama wa Haki-Elimu Tanzania, iko katika harakati za kuwasaidia wanafunzi wa shule za sekondari ambao hali ya maisha ni duni, kuchangia kulipa ada kwa mwaka mmoja. Hatua hiyo, inachukuliwa baada ya Olai kutambua kuwa Elimu ni ufunguo wa maisha. Tunaomba Asasi mbalimbali kutuunga mkono jambo hili, ili kuona azma hii ya OLAI inafanikiwa. Mawasiliano:- P.O BOX 62 TANDAHIMBA, Mobile: 0788 715 532 /0654 269 456, Email: olaitandahimba8@gmail.com Tovuti: envaya.org/olai
May 31, 2015
« Previous Next »

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.