Envaya
Parts of this page are in Swahili. Edit translations

large.jpg

Hii ni Nembo ya Organization for Land and Agriculture Improvement (OLAI)

August 12, 2015
« Previous Next »

Comments (1)

Hassan Luheko Mnaute kiongozi wa Organization for Land and Agriculture Improvement (OLAI). (Kijiji cha Sokoine, kata ya Chaume, wilaya ya Tandahimba - Mtwara - Tanzania) said:
Tatizo la migogoro ya Ardhi ni swala ambalo hujitokeza karibu kila kona hapa Tanzania. Ombi langu kwa wananchi, viongozi wa nyanja mbalimbali ikiwa pamoja na serikali, asasi za kiraia, serikali na watu binafsi, na wadau wa sekta ya Ardhi na dini, tushirikiane pamoja kusimamia matumizi bora ya Ardhi, kwa lengo la kupunguza migogoro inayochelewesha shughuli za maendeleo kwa ustawi wa jamii. Ninaomba tuwe pamoja.
January 2, 2017

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.