Parts of this page are in Swahili. Edit translations
Nasasa tunafanya utafiti wa maswala ya ugonjwa wa malaria maeneo ya markazi kwa ujumla na maeneo mengine kuzunguka maeneo hayo japo hatuja fanikiwa kwa sana kutokana na baadhi ya wadau kuto kuonyesha ushirikiano wa kutosha. Tunapata ushirikiano kutoka serikali ya mtaa huo na pia tunashirikiana na manispaa kitengo cha afya.
May 11, 2010