Parts of this page are in Swahili. Edit translations
NURU DEVELOPMENT GROUP tayari wameshafanikisha kupanda uyoga, wanakikundi wamepeana majukumu ya kuutunza na viongozi kuendelea kutoa elimu pamoja na kutafuta fursa nyingine, Kikundi bado kinakaribisha wanachama ili kuwa na wigo mkubwa zaidi. Pia tunakaribisha wajasiriamali wadogo wagogo ili tuungane na kupanuka zaidi na hatimaye kuifikia jamii nchi nzima. Wanachama sio lazima watoke Dar es salaam na Dodoma tu, tunakaribisha wanachama toka pande zote za Tanzania bara. Katibu wa Nuru Halisi akizungumza na wana Kikundi katika picha.
August 31, 2010