Envaya
Parts of this page are in Swahili. Edit translations

Viongozi na wanachama wa Nuru halisi leo tumefanya usafi katika mifereji ya kandokando mwa barabara ya Mombasa-moshi bar,mitaro hii imekuwa michafu kwa muda mrefu na tumeona ni vyema kuisafisha na ndio tuanze kuzungumza na wafanyabiashara wa kandokando mwa barabara hii pamoja na wamiliki wa machinjio ya Ukonga-mazizini na kujadili namna ambavyo kila mmoja atawajibika kwa sehemu yake

August 12, 2010
« Previous Next »

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.