Log in
Nuru Halisi

Nuru Halisi

Wilaya ya Ilala Ukonga Mazizini, Tanzania

Parts of this page are in Swahili. Edit translations

Wakati NURU HALISI inaendelea na mikakati ya kutoa elimu juu ya Utunzaji wa mazingira, Uongozi na wanachama wa shirika wamesema hawata kaa ofisini na badala yake watakua wakitoka wakati wote na kuifuata jamii ilipo. Hayo yamesemwa na afisa uhusiano wa shirika hilo Philipo Mtoro wakati walipokua wakitoa maelezo ya kazi zao kwa vitendo mbele ya mgeni rasmi wakati wa kupokea tuzo. Vile vile aliwaomba wadau wengine wa mazingira kujitokeza ili kusaidiana na CBO's pindi zinapokua tayari kujitolea kwa jamii.

July 29, 2010
« Previous Next »

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.