Injira
Huruma Care Development

Huruma Care Development

Arumeru, Tanzania

ibigo by'abafatanya bikorwa
Amakuru agezweho
Nuru Halisi
ENVAYA WAMETUTEMBELEA OFISINI KWETU LEO
30 Gicurasi, 2012
Nuru Halisi
DIWANI WA GONGO LA MBOTO NA MSTAHIKI MEYA WA MANSPAA YA ILALA MH JERRY SLAA AKIPOKEA ZAWADI YETU KAMA ISHARA YA KUTUPONGEZA KWA UWAJIBIKAJI WETU MZURI
28 Kamena, 2011
Nuru Halisi
NURU HARISI WAENDELEA KUTOA ELIMU KWA MAMA NA BABA LISHE – DIRA YETU NI KUWAWEZESHA WAUZA VYAKULA NA MATUNDA WAZINGATIE YAFUATAYO ILI KUEPUKA KUENEA KWA KIPINDUPINDU KWA WATEJA – Osha vyombo kwa maji safi na sabuni Kufunika vyombo vyote vizuri na kwa... Soma ibindi
22 Ukuboza, 2010
Nuru Halisi
Nuru Halisi hari ibyo yahinduye kuri Ikipe paje.
Abubakar Saleh – Executive secretary. – Bernadetha Bageni – Chairperson – Philipo Mtoro – Community Relation officer – Wema Semwenda – Accoutant – Liberatus Mlay – Member – Edger Ndamwesiga... Soma ibindi
18 Ukwakira, 2010
Nuru Halisi
Mwezi August na september Nuru Halisi imetoa mafunzo kwa mama na baba lishe katika maeneo ya mazizini-Ukonga, Mafunzo hayo yalihudhuriwa na watu 32 na yalihusisha viongozi wa Kata ya Ukonga kitengo cha afya. Pamoja na kutoa elimu hiyo ya namna ya kutunza vyakula katika hali ya usafi, pia walipatiwa elimu ya namna ya... Soma ibindi
18 Ukwakira, 2010
Nuru Halisi
Nuru Halisi hari ibyo yahinduye kuri Ikipe paje.
Abubakar Saleh – Executive secretary. – Bernadetha Bageni – Chairperson – Philipo Mtoro – Community Relation officer – Wema Semwenda – Accoutant – Liberatus Mlay – Member – Edger Ndamwesiga... Soma ibindi
16 Nzeli, 2010
Nuru Halisi
Katibu wa Nuru Halisi akiwa na viongozi wa kikundi cha Nuru Development Group(KIMANU) katika moja ya vikao vyake. Kikundi hiki tayari kimeanzisha mradi wa uyoga na kinaendelea kuandaa miradi mingine ya maendeleo. Soma ibindi
31 Kanama, 2010
Nuru Halisi
NURU DEVELOPMENT GROUP tayari wameshafanikisha kupanda uyoga, wanakikundi wamepeana majukumu ya kuutunza na viongozi kuendelea kutoa elimu pamoja na kutafuta fursa nyingine, Kikundi bado kinakaribisha wanachama ili kuwa na wigo mkubwa zaidi. Pia tunakaribisha wajasiriamali wadogo wagogo ili tuungane na kupanuka zaidi na... Soma ibindi
31 Kanama, 2010
Nuru Halisi