ibigo by'abafatanya bikorwa
Amakuru agezweho


Nuru Halisi yongeyeho 57 Amakuru agezweho.
DIWANI WA GONGO LA MBOTO NA MSTAHIKI MEYA WA MANSPAA YA ILALA MH JERRY SLAA AKIPOKEA ZAWADI YETU KAMA ISHARA YA KUTUPONGEZA KWA UWAJIBIKAJI WETU MZURI
28 Kamena, 2011

Nuru Halisi yashyizeho Amakuru agezweho.
NURU HARISI WAENDELEA KUTOA ELIMU KWA MAMA NA BABA LISHE – DIRA YETU NI KUWAWEZESHA WAUZA VYAKULA NA MATUNDA WAZINGATIE YAFUATAYO ILI KUEPUKA KUENEA KWA KIPINDUPINDU KWA WATEJA – Osha vyombo kwa maji safi na sabuni
Kufunika vyombo vyote vizuri na kwa... Soma ibindi
22 Ukuboza, 2010

Nuru Halisi hari ibyo yahinduye kuri Ikipe paje.
Abubakar Saleh – Executive secretary. – Bernadetha Bageni – Chairperson – Philipo Mtoro – Community Relation officer – Wema Semwenda – Accoutant – Liberatus Mlay – Member – Edger Ndamwesiga... Soma ibindi
18 Ukwakira, 2010

Nuru Halisi yashyizeho Amakuru agezweho.
Mwezi August na september Nuru Halisi imetoa mafunzo kwa mama na baba lishe katika maeneo ya mazizini-Ukonga, Mafunzo hayo yalihudhuriwa na watu 32 na yalihusisha viongozi wa Kata ya Ukonga kitengo cha afya. Pamoja na kutoa elimu hiyo ya namna ya kutunza vyakula katika hali ya usafi, pia walipatiwa elimu ya namna ya... Soma ibindi
18 Ukwakira, 2010

Nuru Halisi hari ibyo yahinduye kuri Ikipe paje.
Abubakar Saleh – Executive secretary. – Bernadetha Bageni – Chairperson – Philipo Mtoro – Community Relation officer – Wema Semwenda – Accoutant – Liberatus Mlay – Member – Edger Ndamwesiga... Soma ibindi
16 Nzeli, 2010


Nuru Halisi yashyizeho Amakuru agezweho.
Katibu wa Nuru Halisi akiwa na viongozi wa kikundi cha Nuru Development Group(KIMANU) katika moja ya vikao vyake. Kikundi hiki tayari kimeanzisha mradi wa uyoga na kinaendelea kuandaa miradi mingine ya maendeleo. Soma ibindi
31 Kanama, 2010


Nuru Halisi yashyizeho Amakuru agezweho.
NURU DEVELOPMENT GROUP tayari wameshafanikisha kupanda uyoga, wanakikundi wamepeana majukumu ya kuutunza na viongozi kuendelea kutoa elimu pamoja na kutafuta fursa nyingine, Kikundi bado kinakaribisha wanachama ili kuwa na wigo mkubwa zaidi. Pia tunakaribisha wajasiriamali wadogo wagogo ili tuungane na kupanuka zaidi na... Soma ibindi
31 Kanama, 2010

Nuru Halisi yashyize Kamachumu Environment Care Association (KECA) ku rutonde rwe rwa ibigo by'abafatanya bikorwa
29 Kanama, 2010