DAKEDEO.
Inawakaribisha wadau wa maendeleo katika ubunifu na uendeshaji wa miradi ya MAENDELEO KATIKA JAMII ambayo ina mwelekeo wa kukuza uwezo na weledi katika kuwezesha vita dhidi ya umasikini wa kipato katika jamii.
Miradi hiyo yaweza kuwa katika muktadha wa kilimo,ufugaji na shughuli za ujasiliamali.
21 Juni, 2014