Envaya

DAKEDEO.

Inawakaribisha wadau wa maendeleo katika ubunifu na uendeshaji wa miradi ya MAENDELEO KATIKA JAMII ambayo ina mwelekeo wa kukuza uwezo na weledi katika kuwezesha vita dhidi ya umasikini wa kipato katika jamii.

Miradi hiyo yaweza kuwa katika muktadha wa kilimo,ufugaji na shughuli za ujasiliamali.

21 Juni, 2014
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.