- Kuboresha udongo, kuongeza mazao ya chakula na kustawisha misitu katika mazingira yetu kwa kutumia kilimohai na mbinu nyingine zinazosaidia kutokomeza ukataji wa miti na uharibiu wa uoto wa asili.
- Kuelimisha jamii hususani akina mama (Chausiku) juu ya kukuza na kula mimea, mboga na matunda kwa kutumia mboji, samadi na mbinu za asili za kuua wadudu wanaoharibu mazao bila ya matumizi ya kemikali.
- Kutumia uiano uliopa kati ya mimea mbali mbali ndege na hata wadudu ili kukamisha usawa wa viumbe hai na kuboresha mazingira.
Latest Updates
Chausiku Earth Care Project created a Home page.
Kuboresha udongo, kuongeza mazao... Read more
May 2, 2015
Chausiku Earth Care Project joined Envaya.
May 2, 2015
Sectors
Location
Moshi, Kilimanjaro, Tanzania
See nearby organizations
See nearby organizations