Log in

/Chausikuearthcareproject: English: WID3BvtfwDG0awhn50HV3IMS:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English
  1.  Kuboresha udongo, kuongeza mazao ya chakula na kustawisha misitu katika mazingira yetu kwa kutumia kilimohai na mbinu nyingine zinazosaidia kutokomeza ukataji wa miti na uharibiu wa uoto wa asili. 
  2. Kuelimisha jamii hususani akina mama (Chausiku) juu ya kukuza na kula mimea, mboga na matunda kwa kutumia mboji, samadi na mbinu za asili za kuua wadudu wanaoharibu mazao bila ya matumizi ya  kemikali. 
  3. Kutumia uiano uliopa kati ya mimea mbali mbali ndege na hata wadudu ili kukamisha usawa wa viumbe hai na kuboresha mazingira.

 

(Not translated)

In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register