Fungua
Africa Upendo Group

Africa Upendo Group

Shighatini,Mwanga,Kilimanjaro, Tanzania

large.jpg

Mifugo ni mojawapo wa mihimili mikubwa hapa kwetu Tanzania kama itatumiwa vizuri kwa chakula na biashara.Ndama huyu amezaliwa muda sio mrefu katika mikulima huyu wa maeneo ya Tegeta Dar es salaam Bwana KIbona.

15 Juni, 2011
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Maoni (1)

Je ungependa kujifunza jinsi ya kupata samaki wazuri wasio na sumu pia rahisi na kwa gharama kidogo sana kuwafuga?basi usisite kutuuliza maswali au kututembelea kwa kuangalia mawasiliano yetu na pia tunashughulika na ufugaji wa aina mbalimbali kama kuku wa kienyeji kufugwa katika maeneo madogo lakini wengi na wazuri na pia wanaoweza kufikia hata kilo nane kwa muda mfupi?tuulize
15 Juni, 2011

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.