Log in
Africa Upendo Group

Africa Upendo Group

Shighatini,Mwanga,Kilimanjaro, Tanzania

Parts of this page are in Swahili. Edit translations

large.jpg

Mifugo ni mojawapo wa mihimili mikubwa hapa kwetu Tanzania kama itatumiwa vizuri kwa chakula na biashara.Ndama huyu amezaliwa muda sio mrefu katika mikulima huyu wa maeneo ya Tegeta Dar es salaam Bwana KIbona.

June 15, 2011
« Previous Next »

Comments (1)

Je ungependa kujifunza jinsi ya kupata samaki wazuri wasio na sumu pia rahisi na kwa gharama kidogo sana kuwafuga?basi usisite kutuuliza maswali au kututembelea kwa kuangalia mawasiliano yetu na pia tunashughulika na ufugaji wa aina mbalimbali kama kuku wa kienyeji kufugwa katika maeneo madogo lakini wengi na wazuri na pia wanaoweza kufikia hata kilo nane kwa muda mfupi?tuulize
June 15, 2011

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.