Fungua
Africa Upendo Group

Africa Upendo Group

Shighatini,Mwanga,Kilimanjaro, Tanzania

large.jpg

          Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa akielezea jinsi ambavyo amekuwa akishirikiana na Asasi ya Africa Upendo Group mara baada ya Utambulisho kutoka kwa Mkurugenzi wa Asasi hii ndugu Neatness Muze Msemo ambaye ndiye anayeshughulika na jamii katika kuhakikisha Kata ya Makuburi ipo salama. 

26 Agosti, 2013
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.