Umoja wa Wazee wakiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Serikali walipowatembelea ofisini kwao jijini Dar-es-salaam mnamo tarehe 21-o6-2013.
Comments (0)
Wazee ni nguvu,mshikamano,upendo,dawa,hazina ya taifa iliyositirika ambayo ikitumiwa vizuri inaweza kuleta badiliko kubwa katika jamii hasa yenye uhitaji kama wazee.