Umoja wa Wazee na Maendeleo Tanzania ni asasi ya kiraia iliyosajiliwa na serikali ya Tanzania kwa usajili wa namba S.A.18539 kutoka wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi tarehe 11/02/2013.Kufanya kazi ya kulinda,kuhifadhi na kutetea haki na maslahi ya wazee Tanzania kupitia kaulimbiu yetu ya :Dar-es-salaam tumeanza tuungeni mkono tusonge mbele kulinda na kutetea haki za wazee Tanzania.
Mabadiliko Mapya
UMOJA WA WAZEE NA MAENDELEO TANZANIA imeongeza Habari.
TANZANIA ELDERS ASSOCIATION – – INTRODUCTION – – The Tanzania Elders Association established on 1st January 2012 with... Soma zaidi
14 Juni, 2015
UMOJA WA WAZEE NA MAENDELEO TANZANIA imeongeza Habari 3.
TANZANIA ELDERS ASSOCIATIO – SHORT TERM AND LONG TERM PLANS SINCE JANUARY 2013 – 01-SHORT TERM PLANS – To... Soma zaidi
4 Aprili, 2015
UMOJA WA WAZEE NA MAENDELEO TANZANIA imeongeza Habari 2.
TANZANIA ELDERS ASSOCIATION – – INTRODUCTION – – The Tanzania Elders Association estblished on 1st January 2012 with... Soma zaidi
3 Aprili, 2015
UMOJA WA WAZEE NA MAENDELEO TANZANIA imehariri ukurasa wa Jitolee.
Wazee wana uhitaji mkubwa wakusaidika hivyo tunatoa rai kwa watu mbalimbali wenye mapenzi mema na wazee wajitolee kushirikiana nasi katika kukamilisha malengo yetu katika changamoto zinazotukabili katika masuala ya afya, elimu, wataalamu wakuandika miradi na taaluma yoyote ambayo unadhani kuja kwako kwetu inaweza... Soma zaidi
6 Julai, 2013
UMOJA WA WAZEE NA MAENDELEO TANZANIA imehariri ukurasa wa Historia.
Umoja wa wazee na maendeleo Tanzania ni muunganiko wa wazee wote wenye umri kuanzia miaka 50 kuendelea wenye makusudi ya pamoja yakusaidiana na kukabiliana na changamoto mpya kabla na baada ya kustaafu.Umoja huu ulianza baada ya kugundua kuwa hakuna taasisi inayotetea maslahi ya wazee hivyo kuwa wapweke na mara kadhaa haki zao nyingi... Soma zaidi
6 Julai, 2013
Sekta
Sehemu
Kinondoni, Dar es Salaam, Tanzania
Tazama mashirika ambayo yapo karibu
Tazama mashirika ambayo yapo karibu