TANZANIA ELDERS ASSOCIATION
INTRODUCTION
The Tanzania Elders Association estblished on 1st January 2012 with 50 members in Kinondoni district Dar es salaam Tanzania, and got full registration on 11th february 2013 with registration number S.A 18539.
MEMBERSHIP QUARIFICATIONS
- Being a Tanzanian
- Having a 50 years and above
- Both men and women
- Any condition stated in constitution of the association.
AIMS FOR ESTABLISHMENT
- Providing good living condition to the elders in Tanzania.
- solving problems facing elders in Tanzania economicall nad socially
- corporates with government to help orphans and disables people
OBJECTIVES OF TANZANIA ELDERS ASSOCIATIO
- Increase number of members
- welcome any local and foreidners volunteers to finance the association for reaching their goals.
- being able to help maximum number of orphans and disables peoples
- to share information with outsider associations to reach the goals
- to corporate with government on providing assistance orphance and others.
- to establish agricuture activities for producing cashcrops.
- increase the existing business.
chalenges facing the association
- lack of fund to run both economic and social activities.
- lack of sponsours to help the organisation in both financially and technically
- lack of office facilities
LOCATION OF THE OFFICE
STREET:NDUGU/KITEGA(TEXAS)
HOUSE NO:03
WARD:NDUGUMBI
DISTRICT:KINONDONI
REGION:DAR ES SALAAM
COUNTRY:TANZANIA
OFFICE COMMUNICATION:
THE TANZANIA ELDERS ASSOCIATION
NDUGU/KITEGA STREET
P.O BOX 16340
DAR ES SALAAM
TANZANIA.
E-mail:wazeetanzania@hotmail.com
website:www@envaya.org/uwt
telephone number:
+255713-332660-chairman
+255716-584403-vicechairman
+255715-072651-secretary
+255715287526-accountant
UTANGULIZI
001-Wazee kata ya ndugumbi wilaya ya kinondoni mkoa wa dar es salam,wameanzisha umoja wao tarehe 01/01/2012 ukiwa na wanachama 53 kwa jina la UMOJA WA WAZEE NA MAENDELEO TANZANIA.
002-Umoja wa wazee na maendeleo umesajiliwa kisheria na msajili wa vyama tarehe 11/02/2013 namba ya usajili ni S.A.18539.
003-Umoja huu pia umefungua benki akaunti katika benki ya wananchi dar es salaam (DCB) tawi la magomeni dar es salaam.
004-Umoja wa wazee na maendeleo Tanzania unamadhumuni mbalimbali ikiwemo kufanyashughuli mbalimbali za kiuchumi na maendeleo za kujikimu kimaisha,sisi wazeekufanya shughuli mbalimbali za kiuchumi,kijamii za kimaendeleo kusaidia yatima,walemavu .nk.
005-Umoja wa wazee Tanzania ni umoja wa kitaifa Tanzania wa jinsia zote wanaume na wanawake kuanzia umri wa miaka 50 na kuendelea.Tanzania bara na visiwani kwa raia wa Tanzania tu.
006-Umoja wa wazee na maendeleo Tanzania kwa wakati huu unajiendesha kwa michango ya wanachama wake.
007-Kwa hivi sasa tumeanzia biashara ya kuuza soda na maji ya kunywa ya chupa.
008-Ofisi yetu na duka letu lipo KAGERA MIKOLOSHINI KATA YA NDUGUMBI WILAYA YA KINONDONI,MTAA WA NGUGU/KITEGA(TEXAS).
NYUMBA NA.03
ANUANI
UMOJA WA WAZEE NA MAENDELEO TANZANIA
MTAA WA NDUGU/KITEGA H/S NA O3
S.L.P 16340
DAR ES SALAAM
TANZANIA
e-mail:wazeetanzania@hotmail.com
Tovuti:www@envaya.org/uwt.
simu:0713 332660-Mwenyekiti
0716 584403-Makamu mwenyekiti
0715 072651-Katibu1
0715 287526-Mweka hazina
Umoja wa wazee na maendeleo Tanzania wakiwa katika moja ya mikutano yao punde walipo tembelewa na viongozi wa manispaa ya Kinondoni-Dar-es-salaam.
Kamati ya uchumi na maendeleo ya umoja wa wazee Tanzania wakiwa katika pozi la pamoja kuonyesha ushirikiano.
Umoja wa wazee wakiwa katika picha ya pamoja na mkurugenzi wa asasi ya Mohispac Foundation(Mch Nziacharo Makenya aliyevalia suti nyeusi pichani) alipowatembelea kuwatia moyo kusonga mbele katika harakati za kutetea maslahi ya wazee Tanzania
Picha ya pamoja ya viongozi na wanachama wa umoja wa wazee na maendeleo Tanzania.