vijana wamekuwa na muamko mkubwa wa mafunzo ya uelimishaji rika yanayo tolewa na shirika kila juma mosi mafanikio ya kuwapata vijana wengi yamepatikana, shirika lilipo anzisha michezo mbalimbali hasa mpira wa miguu kwa vijana walioko mashuleni na walio maliza masomo wa rika tofauti lengo lashirika kuwaepusha vijana namakundi ya kuwapotosha,makundi ya ulevi n.k
22 Novemba, 2011