Envaya

TUNAWEZA WOMEN GROUP

stakishari ukonga,ILALA, Tanzania

-kusaidia jamii

-saidia elimu rika kwa mabinti waliomaliza elimu ya msingi

-kutoa mafunzo ya ufundi kwa jamii

-kusaidia yatima

-na kuwezesha wa-vvu

Mabadiliko Mapya
TUNAWEZA WOMEN GROUP imeongeza Habari.
Kutokana nakutokuwa hewani kwa muda mrefu Tunaweza Women Group tunaomba radhi kwani ilikuwa nje ya uwezo wetu, napenda kuwajulisha kuwa hivi sasa tumerudi tena natunaendelea na kazi za kulijenga taifa letu shime wana Azaki tushirikiane – Ahsante wenu katika ujenzi wa taifa – Ariziki Mtambalike...
18 Agosti, 2016
TUNAWEZA WOMEN GROUP imeongeza Habari.
Baada ya kumaliza mafunzo yaliyo tuwezesha kuelewa na kuandika mpango mkakati, kanuni na utunzaji wa fedha za asasi, tunapenda kutoa shukrani za dhati kwa uongozi na wafanya kazi wote wa The foundation for civil sociaty kwa kuweza kutuwezesha kufika hapa tulipo. – Pamoja nashukrani hizo pia tunatoa shukrani... Soma zaidi
6 Septemba, 2012
TUNAWEZA WOMEN GROUP imeongeza Habari 2.
Ndugu wadau pamoja na wana asasi wote natumaini wote hamjambo pamoja nakuwa wote tuko ndani ya chombo kimoja au boti moja nia na madhumuni nikupata ulimengu wenye usawa na haki maridhawa amani na utulivu.Pamoja nakuwa ndani ya chombo kimoja lakini milango ya kutokea ni tofauti sisi wenzenu wana TUNAWEZA WOMEN GROUP tume azimia kutoa... Soma zaidi
30 Mei, 2012
TUNAWEZA WOMEN GROUP imeumba ukurasa wa Jitolee.
Kwanza tunatoashukrani za dhati kwenu Envaya kwa kutusaidia ukurasa huu. Shirika letu la TUNAWEZA WOMEN GROUP tunahitaji mwalimu wa michezo tunao vijana ambao wana hitaji mwalimu wa kuwafundisha nakuwasimamia katika mchezo wa mpira wa miguu,tunahitaji pia mwalimu wa kufundisha ushonaji kwani tunao wasichana wanaojifunza ufundi wa kushona... Soma zaidi
22 Mei, 2012
TUNAWEZA WOMEN GROUP imeongeza Habari.
Tunatoa shukrani kubwa kwa shirika la The foundation for civil society kwa kutuwezesha kupata mafunzo ya uongozi mpango mkakati pamoja na utunzaji wa fedha kwani japo kuwa tuli anza kukata tamaa kwa kuchelewa kwa ruzuku hivi sasa tuna fanya kazi kwa kujiamini japokuwa bado tunaendelea na mafunzo .
12 Aprili, 2012
TUNAWEZA WOMEN GROUP imeumba ukurasa wa Timu.
MONIKA BWANGA/ MWENEKITI – GRACE PETER/ KATIBU – ARIZIKI MTAMBALIKE/ MUHAZINI – ZAHARA RASHIDI/ M/ KITI MSAIDIZI – ESHI NDOSI/KATIBU/MSAIDIZI – FARAJA MAKENE/AFISA UKIMWI – ZENNA JUMANNE/MJUMBE – CONSOLATA BAGANDA/MJUMBE – AGNES MBEZI/MJUMBE ... Soma zaidi
12 Aprili, 2012
Sekta
Sehemu
stakishari ukonga,ILALA, Dar es Salaam, Tanzania
Tazama mashirika ambayo yapo karibu