Fungua
TUNAWEZA WOMEN GROUP

TUNAWEZA WOMEN GROUP

stakishari ukonga,ILALA, Tanzania

Tunatoa shukrani kubwa kwa shirika la The foundation for civil society kwa kutuwezesha kupata mafunzo ya uongozi mpango mkakati pamoja na utunzaji wa fedha kwani japo kuwa tuli anza kukata tamaa kwa kuchelewa kwa ruzuku hivi sasa tuna fanya kazi kwa kujiamini japokuwa bado tunaendelea na mafunzo . 

12 Aprili, 2012
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.