Envaya

Translations: Kiswahili (sw): Latest translations

Internal IDBaseKiswahiliTranslatorTime Created
WI6Gtp0Kdsdia5YkWC6MS09I:content“Our existence is to provide support in wealth creation to the poor people through asset accumulation, in so doing we will eradicate poverty in our society” We bring together innovations, new and effective ways of community participation, create public awareness, influence policy changes and initiate private markets to promote asset-building strategies, primarily to low income and marginalized..."Kuwepo kwetu ni kutoa msaada katika kujenga utajiri kwa watu maskini kwa njia ya kuwa na mali, kwa kufanya hivyo tutaweza kutokomeza umaskini katika jamii yetu" Kwa pamoja tunaleta pamoja ubunifu, njia mpya za ufanisi kwa kushirikisha jamii, kuhamasisha umma, kuleta mabadiliko ya sera na ushawishi na kukuza masoko binafsi na kuwa na mikakati ya kuongeza mali, hasa kwa kipato cha chini na jamii iliyotengwa.asmetMarch 3, 2014
WI6Gtp0Kdsdia5YkWC6MS09I:content“Our existence is to provide support in wealth creation to the poor people through asset accumulation, in so doing we will eradicate poverty in our society” We bring together innovations, new and effective ways of community participation, create public awareness, influence policy changes and initiate private markets to promote asset-building strategies, primarily to low income and marginalized...“Our existence is to provide support in wealth creation to the poor people through asset accumulation, in so doing we will eradicate poverty in our society” We bring together innovations, new and effective ways of community participation, create public awareness, influence policy changes and initiate private markets to promote asset-building strategies, primarily to low income and marginalized...asmetMarch 3, 2014
WIU66weTOs02DZ5Oji1srTVs:contentndeleo ndani ya Wilaya na Nchi kwa ujumla. (5)- Kubuni njia zitakazoleta ufanisi katika vipengele vya hapo juu. (6)- Kuandikana kuzalisha habari zitakazosambazwa kwa Wananchi kupitia Maktaba za jamii.. shirika limejikita zaidi katika vipengele vikuu kama elimu, kilimo na utunzaji wa mazingira, ukimwi na malaria, ujasiriamali, utawala bora na haki za binadamu. Hivyo:- (1)- kushirikiana na serikali na vyombo vingine visivyo vya kiserikali vya ndani na nje ya nchi katika kutoa huduma kwa jamii. (2)- kuainisha mahitaji na kushiriki katika kupanga na kutekeleza huduma hizo ipasavyo. (3)- kuishawishi serikali na vyombo vyake ili vitoe huduma bora katika jamii kwa haki na usawa. (4)- kuhamasisha...Kasodefo2009January 12, 2014
WIU66weTOs02DZ5Oji1srTVs:contentndeleo ndani ya Wilaya na Nchi kwa ujumla. (5)- Kubuni njia zitakazoleta ufanisi katika vipengele vya hapo juu. (6)- Kuandikana kuzalisha habari zitakazosambazwa kwa Wananchi kupitia Maktaba za jamii.DIRA YA SASI kuhakikisha mabadiliko katika nyanja ya kiuchumi na kijamii yanakuwepo katika jamii ili jamii iweze kunufaika kwayo. UTUME WA ASASI kuifanya jamii iweze kuhamasika dhidi ya kufikia malengo ya milenia. kuwajali, kuwathamini na kuwajengea uwezo wa kimaisha watu waishio katika mazingira magumu hususani wanawake na vijana walio hatarini kuathirika/walio athirika kiuchumi na kijamii. MALENGO YA SHIRIKA kwa kua shirika linalenga zaidi katika kupambana na umasikini, ujinga na maradhi....Kasodefo2009January 12, 2014
WIU66weTOs02DZ5Oji1srTVs:contentndeleo ndani ya Wilaya na Nchi kwa ujumla. (5)- Kubuni njia zitakazoleta ufanisi katika vipengele vya hapo juu. (6)- Kuandikana kuzalisha habari zitakazosambazwa kwa Wananchi kupitia Maktaba za jamii.DIRA YA SASI kuhakikisha mabadiliko katika nyanja ya kiuchumi na kijamii yanakuwepo katika jamii ili jamii iweze kunufaika kwayo. UTUME WA ASASI kuifanya jamii iweze kuhamasika dhidi ya kufikia malengo ya milenia. kuwajali, kuwathamini na kuwajengea uwezo wa kimaisha watu waishio katika mazingira magumu hususani wanawake na vijana walio hatarini kuathirika/walio athirika kiuchumi na kijamii. MALENGO YA SHIRIKA kwa kua shirika linalenga zaidi katika kupambana na umasikini, ujinga na maradhi....Kasodefo2009January 12, 2014
WI000033F93F619000020547:contentOLAI ni Asasi ya kiraia iliyoanzishwa mwaka 2010 na kupata usajili katika wizara ya Maendeleo ya jamii, Jinsia na watoto mwaka 2011. Ofisi za makao makuu zipo kijiji cha Sokoine, kata ya Chaume, Wilaya ya Tandahimba, Mkoa wa Mtwara Tanzania.Kuiwezesha jamii ya wakulima wadogo na wa kati wa Tandahimba na Tanzania, kutambua fursa mbalimbali na kuzitumia na kushiriki kwa ufanisi ili iwawezeshe kuyaboresha maisha yao.OLAIOctober 19, 2013
WI000033F93F619000020547:contentOLAI ni Asasi ya kiraia iliyoanzishwa mwaka 2010 na kupata usajili katika wizara ya Maendeleo ya jamii, Jinsia na watoto mwaka 2011. Ofisi za makao makuu zipo kijiji cha Sokoine, kata ya Chaume, Wilaya ya Tandahimba, Mkoa wa Mtwara Tanzania.Kuishawishi serikali kutoa kipaumbele na kutenga bajeti inayokidhi mahitaji ya sera ya kilimoOLAIOctober 19, 2013
share:emailEmaildmwaisaka@yahoo.comBarua pepeTuelimikeSeptember 8, 2013
(hidden)
WIEwcg4mwKmZbyIrG9kszgq4:contentthe organization has planted trees more than 10000 at iringa region , and started the initial stage project of bluilding the its school at bunju Dar es salaam.the organization has planted trees more than 10000 at iringa region , and started the initial stage project of bluilding the its school at bunju Dar es salaam.hf2009June 4, 2013
WI000A0F37F91CA000004705:titleReportsMADHUMUNITaarifaCHAMAKIVUMay 9, 2013
WIPRxWub09P7b2wxtElzGPZt:contentAndulile Raphael – Chairperson. – Senior Statistician who has served in different roles in public service in Ministry Departments, Independent state Departments and Agencies. He is a talented motivational public speaker and organiser. – Adam Gwankaja – General Secretary. – He is a trained teacher and development activist. He has served in various roles from school...Andulile Raphael – Mwenyekiti. – Wasifu wake: Ni Mtakwimu Mwandamizi ambaye ametumikia katika nyadhifa mbalimbali za utumishi wa umma kwenye Wizara, Idara na wakala wa serikali. Ni mhamasishaji stadi. – Adam Gwankaja – Katibu Mkuu. – Ni mwalimu na mwanaharakati wa maendeleo ya binadamu. Ametumikia katika nafasi mbalimbali akiwa mwalimu, mkuu wa shule, hadi kufikia kuwa...MpalanoCDOMarch 24, 2013
WIXQJyE2lsQIt2AlywwLdXUE:contentWAKETI KWENYE UDONGO DARASANI KWA UHABA WA MADAWATI – Wanafunzi katika shule ya msingi Chalula iliyopo Mvumi Makulu Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma wanakabiliwa na uhaba wa madawati na kusababisha kuketi chini huku baadhi ya madarasa yakiwa hayana sakafu. – Hayo yalibainika hivi...WAKETI KWENYE UDONGO DARASANI KWA UHABA WA MADAWATI – Wanafunzi katika shule ya msingi Chalula iliyopo Mvumi Makulu Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma wanakabiliwa na uhaba wa madawati na kusababisha kuketi chini huku baadhi ya madarasa yakiwa hayana sakafu. – Hayo yalibainika hivi...M-E-D-1-1March 18, 2013
WIE0Jg6LomuDZJkICbJv93fM:contentMIAKA SABA SHULE HAINA MWALIMU WA HESABU – Wakati serikali ikiwa imeunda tume ya kuchunguza chanzo cha matokeo mabaya ya kidato cha nne kwa mwaka 2012, zipo sababu nyingi zinazoonyesha dalili za awali za majibu yatakayoletwa na tume hiyo mara baada ya kukamilika kwa uchunguzi wake. ...MIAKA SABA SHULE HAINA MWALIMU WA HISABATI – Wakati serikali ikiwa imeunda tume ya kuchunguza chanzo cha matokeo mabaya ya kidato cha nne kwa mwaka 2012, zipo sababu nyingi zinazoonyesha dalili za awali za majibu yatakayoletwa na tume hiyo mara baada ya kukamilika kwa uchunguzi wake. ...M-E-D-1-1March 16, 2013
(hidden)