- Kuwaelimisha vijana na kuwapa stadi za maisha – - Kulea na kuwasaidia watoto yatima na waishio katika mazingira magumu. – - Kuwapa mbinu mbali mbali za kuwafanya waweze kujiamini katika nyanja mbali mbali ikiwemo elimu, ajira na ugunduzi wa vitu mbali mbali – - Kuwajenga vijana wawe katika maadili mema ili kuepukana na kuwa na vijana wanaojiingiza katika uhalifu – - Kuwajengea uwezo utakaowawezesha kujua misingi ya maadili mema | (Not translated) | Hindura |