- Kuwaelimisha vijana na kuwapa stadi za maisha
- Kulea na kuwasaidia watoto yatima na waishio katika mazingira magumu.
- Kuwapa mbinu mbali mbali za kuwafanya waweze kujiamini katika nyanja mbali mbali ikiwemo elimu, ajira na ugunduzi wa vitu mbali mbali
- Kuwajenga vijana wawe katika maadili mema ili kuepukana na kuwa na vijana wanaojiingiza katika uhalifu
- Kuwajengea uwezo utakaowawezesha kujua misingi ya maadili mema
- Kulea na kuwasaidia watoto yatima na waishio katika mazingira magumu.
- Kuwapa mbinu mbali mbali za kuwafanya waweze kujiamini katika nyanja mbali mbali ikiwemo elimu, ajira na ugunduzi wa vitu mbali mbali
- Kuwajenga vijana wawe katika maadili mema ili kuepukana na kuwa na vijana wanaojiingiza katika uhalifu
- Kuwajengea uwezo utakaowawezesha kujua misingi ya maadili mema
Latest Updates
Malezi Alive Pioneers updated its Team page.
Sigfried Mwigune – The Chief Coordinator – Laris Simon Mwakasaka – Project Coordinator
July 23, 2010
Malezi Alive Pioneers added a News update.
Asasi ya Malezi Alive Pioneers ni Aasasi isiyo ya kiserikali inayofanya kazi kuwajengea uwezo vijana wawe katika maadili mema na pia wajiamini katika masuala mbali mbali yanayowakabili
May 17, 2010
Malezi Alive Pioneers joined Envaya.
May 17, 2010
Sectors
Location
MBEYA CITY COUNCIL, Mbeya, Tanzania
See nearby organizations
See nearby organizations