Kuhusu
Peleleza
Tafuta
Jitolee
Mabadiliko
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Fungua
/tumaini_mwanza/projects
: Kiswahili
Asili
Kiswahili
Tumaini tunatoa misaada ya elimu kwa watoto yatima na walio katika mazingira magumu zaidi.walengwa wakiwa ;Primary na Secondary. – Tumaini tuna fundisha stadi za kazi;Ushonaji,Ufumaji,Ushonaji sweta kwa vijana walioshindwa kuendelea na elimu ya Secondary kwa matatizo mbalimbali yakiwemo ya kijamii na kiuchumi. – Kutetea yatima na wajane kupata haki zao. – Kutoa elimu ya; ujasilia mali,kujikinga na maambukizi na ukimwi.
(Bila tafsiri)
Hariri