Parts of this page are in Swahili. Edit translations
Tumaini tunatoa misaada ya elimu kwa watoto yatima na walio katika mazingira magumu zaidi.walengwa wakiwa ;Primary na Secondary.
Tumaini tuna fundisha stadi za kazi;Ushonaji,Ufumaji,Ushonaji sweta kwa vijana walioshindwa kuendelea na elimu ya Secondary kwa matatizo mbalimbali yakiwemo ya kijamii na kiuchumi.
Kutetea yatima na wajane kupata haki zao.
Kutoa elimu ya; ujasilia mali,kujikinga na maambukizi na ukimwi.