Fungua

/takuuki/topic/27195/add_message: Kiswahili

AsiliKiswahili
Napenda kueleza machahche kuhusiana na Hali ilivyo kuhusu HIV/AIDS kwenye shule za Sekondari na Vyuo mbalimbali vya Ualimu hapa nchini Tanzania. – Nazungumzia jambo hili kwa sababu msisitizo kwa Vijana hawa upo kwenye Elimu ya Compyuta na Masomo ya Sayansi, lakini HIV/AIDS haihusishwi. Kutohusishwa inaonekana hawajengewi moyo wa Maisha ya Baadae,jambo ambalo mara wanapofuzu Taaluma yao wanaonekana tayari wana VVU lakini pia hawapendi kupangiwa kazi maeneo...(Bila tafsiri)Hariri
Phytza@yahoo.com (Peace and Hope for Youth Development "PHY") – Dhana ya kutowajali vijana hasa wa vyuo mbalimbali hasa vyuo vya elimu ya juu katika suala zima la Ukimwi, kwakuwa jamii inaamini kuwa vijana hawa wana uelewa kuhusu UKIMWI na madhara yake, kitu ambacho kwa mtazamo wangu sio sahihi. Hivyo nadhani vijana wa elimu ya sekondari na vyuo vya elimu ya juu wanapaswa kuelimishwa pia stadi za maisha ili kupata elimu ya kujithamini, na hivyo kuepuka...(Bila tafsiri)Hariri
@Ng'onye John (Taasisi ya Kupambana na Ukimwi Kitangari- Newala.): Nafikili jambo lakufanya viongozi wa dini, wanasiasa na walimu iwe kauli mbiu kwao wanapokuwa wako jukwaani iwe salamu yao kwa hadhira, asante!(Bila tafsiri)Hariri
ELIMU YA UKIMWI SEKONDARI NA VYUONI INASAHAULIKA.(Bila tafsiri)Hariri