Fungua

/takuuki/topic/27195/add_message: Kiswahili: dM00029E2452EFF000040272:content

« Iliyotangulia   ·   Ifuatayo »
Asili (Kiswahili) Kiswahili

Phytza@yahoo.com (Peace and Hope for Youth Development "PHY")

Dhana ya kutowajali vijana hasa wa vyuo mbalimbali hasa vyuo vya elimu ya juu katika suala zima la  Ukimwi, kwakuwa jamii inaamini kuwa vijana hawa wana uelewa kuhusu UKIMWI na madhara yake, kitu ambacho kwa mtazamo wangu sio sahihi. Hivyo nadhani vijana wa elimu ya sekondari na vyuo vya elimu ya juu wanapaswa kuelimishwa pia stadi za maisha ili kupata elimu ya kujithamini, na hivyo kuepuka kupoteza watalaamu katika fani mbalimbali kwa njia ya UKIMWI.

(Bila tafsiri)

Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe