Ibitwerekeyeho
Ikarita
Shakisha
Korera ubushake
Inkuru
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Injira
/tawa/post/100276
: Kinyarwanda
Base
Kinyarwanda
.Wakazi wa Eneo la keko wanahitaji kuboreshewa miundo mbinu kutokana na maeneo mengi kuharibiwa na maji. – .Kwa waliopoteza rasilimali,mitaji,vifaa vya kazi watafutiwe njia ya kuwawezesha waanze upya kwenye shughuli zao za kazi,kuepusha uhaalifu utaohatarisha maisha ya wananchi wengine.
(Not translated)
Hindura
.Kufanyike utaratibu wa kumwaga dawa sehemu ambazo bado maji yametuama ili kuzuia magonjwa mlipuko katika maeneo hayo. – Kugawa vyandarau ili kuepusha wakazi katika eneo la keko kupata ugonjwa wa Malaria. – .
(Not translated)
Hindura
.kutokana na Serikali kuruhusu ujenzi wa nyumba bila mpangilio,ufanyike utaratibu maalumu wa kuhamisha watu walio kwenye mazingira hayo duni. – Kiwanda cha Ruby kimechangia kwa asilimia 40 kusababisha mafuriko katika maeneo ya keko kwasababu ya kuziba mfereji mkubwa wa maji kwa lengo la kufanya ulinzi katika kiwanda hicho,hivyo serikali ina jukumu kubwa la kuhakikisha kero hii inatoweka.
(Not translated)
Hindura
Interview 10 – 1.Unaishi sehemu gani?! – Keko mwanga 'A' – 2.Mtaa wako unahitaji kitu gani sana sana?! – Kuboresha miundo mbinu,mfano mfereji mkubwa kupanuliwa,mifereji midogo midogo ijengwe itakayotiririsha maji kwenye mfereji mkubwa. – 3.Mafuriko yameleta athari gani kwenye nyumba unayoishi na vitu vyako?! – Vitu vyote vya ndani vimeharibika. Nyumba imebomoka...
(Not translated)
Hindura