Log in

/UNATZ/post/68: English: WIh71tRmG61UiFfrzmXqYS8w:content

« Previous   ·   Next »
Base (English) English

Alliance for Women,children and Youth Survivors(AWCYS -NGO) 
kwa kishirikiana na Taasisi ya Uigizaji na Ngoma za Asili Tanzania (UNA) Tuna muunga mkono MH: MWANASHA TUMBO Mkuu wa wilaya ya MUHEZA Kuanzisha Kampeni ya ##ULINZI NA ELIMU KWA MTOTO WA MUHEZA TANGA NI JUKUMU LANGU##

Kwani ni wajibu wa MZAZI,MLEZI na JAMII nzima kusimamia ELIMU na ulinzi Kwa mtoto

Je wewe ni mlinzi wa mtoto huko uliko ?

Je uko tayari kusimamia kupatikana kwa Ulinzi na Elimu kwa Mtoto?

Karibu tumuunge mkono Mh mkuu wa Wilaya ya MUHEZA TANGA

(Not translated)

In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register