Envaya

/UNATZ/post/68: Kiswahili: WIh71tRmG61UiFfrzmXqYS8w:content

Asili (Kiingereza) Kiswahili

Alliance for Women,children and Youth Survivors(AWCYS -NGO) 
kwa kishirikiana na Taasisi ya Uigizaji na Ngoma za Asili Tanzania (UNA) Tuna muunga mkono MH: MWANASHA TUMBO Mkuu wa wilaya ya MUHEZA Kuanzisha Kampeni ya ##ULINZI NA ELIMU KWA MTOTO WA MUHEZA TANGA NI JUKUMU LANGU##

Kwani ni wajibu wa MZAZI,MLEZI na JAMII nzima kusimamia ELIMU na ulinzi Kwa mtoto

Je wewe ni mlinzi wa mtoto huko uliko ?

Je uko tayari kusimamia kupatikana kwa Ulinzi na Elimu kwa Mtoto?

Karibu tumuunge mkono Mh mkuu wa Wilaya ya MUHEZA TANGA

(Bila tafsiri)

Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe