Base (Swahili) | English |
---|---|
Mwenye nyumba hii anahitaji kukutana na Tume ya Rais ya kukusanya maoni juu ya Marekebisho ya Katiba; wajumbe wa tume watamfikiaje huyu? taarifa za ujio wa Wajumbe wa Tume atazipataje?
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya Sekondari Wella iliyoko Manispaa ya Dodoma hutembea umbali wa zaidi ya Km 10 kwenda na kurudi shuleni kila siku. Shule hii ni ya Kata ya Kikuyu Kusini.
Mandhari ya Mji wa Singida.
Hizi ni picha za bafu na Choo kwa wavulana wa shule ya sekondari Mbabala
Hili ni Bweni la wavulana katika shule ya sekondari Mbabala! Humu ni ndani ya Bweni la wavulana katika shule ya Mbabala Sekondari Moja ya nyumba ambayo baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari Mbabala "GHETO" wamepangisha na kuishi humu. Kwa nyumba kama hii; tutarajie nini kwa wapangaji hawa? Wajasiriamali wa biashara ya Mkaa wakisaka wateja.
Kibao kinachokataza kutumia lugha ya kirangi na kusisitiza kutumia kiswahili katika shule ya sekondari Chagaa iliyoko Wilayani Kondoa Mkoa wa Dodoma. Wanafunzi wa shule hiyo hutumia zaidi lugha ya Kirangi kuliko Kiswahili na Kiingereza kwao ni majaaliwa ya Muumba. Mlezi wa wanafunzi wa kiume katika shule a Kikuyu Sekondari Tumaini Wambura akitoa ushauri na rai kwa washiriki wa mjadala wa Club ya Marafiki kuzingatia maadili ili kutimiza ndoto yao ya kuhitimu Elimu ya Sekondari kwa mafanikio na kwenda kutumikia jamii.
Mwandishi wa Habari kutoka Kituo cha TV cha Chanel 10 akipiga picha wakati mwanafunzi Ruthilinda Egberth akichangia katika mjadala wa wanafunzi wa Club ya Marafiki wa Elimu Dodoma katika shule ya Sekondari Kikuyu ya Dodoma. Mchangiaji katika Mjadala wa katiba akisisitiza jambo wakati wa mjadala wa katiba uliofanuika Mjini Dodoma na kuhudhuriwa na wakazi wa mji huo zaidi ya 300.
Mkuu wa Wilaya ya Bahi ambaye pia ni Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini Bibi Betty Mkwasa akisoma hotuba ya ufunguzi wa Mjadala wa Katiba ulioandaliwa na DUNGONET kwa ufadhili wa shirika la The Foundation for Civil Society la jijini Dar Es Salaam
Bweni la wavulana katika shule ya Sekondari Mbabala iliyoko Manispaa ya Dodoma. Kwa hali hii tutarajie matokeo gani kwa wanafunzi zaidi ya 43 wanaoishi katika ghala hili ambalo leo nimebadilishwa jina na matumizi hadi kuuwa Bweni bila marekebisho?
Choo chenye matundu mawili kinacho tumiwa na wavulana zaidi ya 43 wa Mbabala Sekondari Manispaa ya Dodoma Mkoani Dodoma.
Wanaharakati wa Warsha ya Jukwaa la Katiba Wakisikiliza michango ya washiriki.
Jenngo hili ni mfano wa moja ya majengo yaliyojengwa kwa fedha za Mpango wa Kuboresha Elimu ya Msingi (MMEM) katika shule ya Msingi Amani iliyoko Manispaa ya Dodoma mwaka 2005.
Mjini ni kazi na kilimo; utakula nini bila kushiriki kwenye uti wa mgongo wa Taifa hili? Acha uvivu wa kujifanya mtoto wa mjini; Shiriki kuzalisha shambani.
Mjumbe wa Bodi ya AFNET Mch. Kanyamala (wa kwanza kushoto) na Mkurugenzi wa AFNET Taifa Bi. Sarah Mwaga wakti wa maadhimisho ya kupinga ukatili wa wanawake Mkoani Singida.
Baadhi ya wanaharakati waliongana na wakazi wa mji wa Singida katika maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijisnia. Maadhimisho hayo yaliongozwa na ujumbe wa "Pinga Ukatili Imarisha Familia"
Mwakilishi wa Chama cha Viziwi Tanzania (CHAVITA) Bw. Ally Jumanne aliye simama katikati akichangia mada katika Mdahalo wa Wagombea Ubunge jimbo la Dodoma Mjini ulioandaliwa na Mtandao wa Asasi za Kiraia Mkoani Dodoma (NGONEDO) 2010.
Wasanii wakitoa Elimu kwenye Moja ya Mikutano ya Kampeni za Uchaguzi Mkuu 2010
Wadau wa Habari na wanaharakati wakizuru kaburi la Mtemi Mazengo katika Kijiji cha Mvumi Makulu Wilaa ya Chamwino Moani Dodoma.
Kaburi la Mtemi Daudi Salomona Mazengo Chalula aliyefariki Tarehe 17 Januari, 1967 anakadiriwa kuwa na Umri wa Miaka 106.
Pichani juu ni Fullgence Ngonyani akifurahia mchezo wa kuruka wakati picha ya chini ni Prince E. Kimaro .
Mchezo wa kuruka ni moja kati ya michezo inayojenga Afya na kuboresha uwezo wa Ubongo kufikiri na kutoa maamuzi kwa haraka. |
This landlord needs to meet the President's Commission to gather views on the Amendment of the Constitution, members of the commission shall mfikiaje this? reports of the arrival of members of the Commission shall zipataje? Some students of Secondary School Dodoma Municipal Wella which walks a distance of more than 10 Km to and from school each day. This school is a ward of the Kikuyu Africa. Themes of the City of Singida. These are pictures of the bathroom and toilet for high school boys BABALA This is House boys in high school BABALA! Herein is in the House BABALA boys in secondary school One of the houses that some students high school BABALA "GHETO" have been renting and living here. In this house, what we can expect for these tenants? Charcoal business entrepreneurs in search of customers.
Kinachokataza tablet using racial language and insist to use English in secondary schools which roam Kondoa District in Dodoma Region. Students at the school uses more colors than the English language and English for them is the fate of the Creator. The Lord of the male students in the secondary school a Kikuyu Hope Wambura casting advice and opinion to the members of the Friends Club discussion based on values in order to fulfill their dream of Secondary Education graduate successfully and to serve the community.
A journalist from the Centre of Chanel 10 TV taking pictures when Ruthilinda Egberth student contributing to the debate students' Club of Friends of Education in Secondary School in Dodoma Dodoma Kikuyu. Contributor in stressing the constitutional debate is a discussion of the constitution during the Dodoma Urban ofanuika attended by residents of more than 300 city.
Bahi District General who is also the Acting Chief of Dodoma Urban District, Mrs Betty Mkwasa read the opening speech of the debate on the Constitution was drafted and DUNGONET funding agency The Foundation for Civil Society in Dar Es Salaam
The boys boarding secondary school in the municipality of Dodoma BABALA ambient. In this case we would expect the results to students over 43 who live in this warehouse, which today have changed the name to use to kill House without amendment?
Toilet with two piercing holes used by more than 43 boys in secondary BABALA Dodoma Municipality... |
Translation History
|