Log in

/m-e-d-1-1/page/darasa: English: WI0001ACF14CE87000008093:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

Ukurasa huu unakujuza mambo mengi ambayo ama unayafahamu au huyafahamu. Si vibaya kama unayafahamu ukajikumbusha na kama huyafahamu ukayafahamu na kwenda kuwajuza wengine. Karibu saaaaaaaana Mdau!!!

 Hii ni Ofisi ya Walimu katika shule ya Msingi Mzula Wilayani Chamwino. Je wajua kwamba hapa ndipo wanakokaa Walimu na kufikiria namna ya kuboresha taaluma katika shule yao? Jiulize kama ofisi iko hivi, madarasa, madawati na vitendea kazi vingine vikoje? 


Licha ya kuwepo kwa Mkataba wa Haki za watu wenye Ulemavu; Idadi kubwa ya watu wenye ulemavu  bado kundi kubwa la wahusika hawajafikiwa na taarifa sahihi juu ya uwepo wa Mkataba huo.

 

Hivi unafahamu kwamba kati ya shule 10 zilizofanya vibaya katika mtihani wa Taifa wa kidato cha nne 2010; shule tano kati ya hizo zimetoka Dodoma?  Shule hizo ni Changaa, Kolo, Kikore, Hurui na Thawi. Haijalishi zinatoka Wilaya gani ila ni za Dodoma; Tufanye nini kuepuka aibu hii mwakani?

  • Shule ya Sekondari Changaa ambayo ni miongoni mwa shule 5 za Sekondari zilizofanya vibaya zaidi Kitaifa katika Mtihani wa Kidato cha nne 2010; hivi sasa ina jumla ya wanafunzi watatu tu (3) wa kidato cha nne ambapo wasichana ni wawili na mvulana mmoja tu? 

Haikuwa kazi ndogo kufika Changaa; hapa Power tiller inakoma. Ilitulazimu kushuka kwenye gani na kutembea kwa miguu ili kupunguza uzito kwenye gari.

  • Katika ziara yangu kwenye shule ya Changaaa tarehe 4/04/2011 nilifika shule hiapo ambapo nilifanikiwa kuonana na mwanafunzi mmoja wa shule hiyo aliyekuwa ambaye ni miongoni mwa wanafunzi watatu wa kidato cha nne (iv) ambaye alihudhuria masomo kwa siku hiyo. Binti hiuyo aliyefahamika kwa jina la Kurwa Martin alisema yeye ataendelea na masomo hadi hapo atakapo hitimu hata kama atabaki peke yake katika darasa hilo.

 Shule ya Sekondari Pahi ina Maabara ila hawajui Funguo ziliko?

Unaweza usiamini ila hiyo ni hali halisi tuliyo ikuta kwenye Shule ya Sekondari ya Pahi iliyoko Wilayani Kondoa. Katika hali ya mshangao; walimu wote wa shule hiyo hawakuwa na funguo za Maabara hiyo licha ya kujinadi kuwa wana maabara inayotumika na wanafunzi wa shule hiyo.Hiki ni chumba cha maabara kama kinavyoonekana ambacho licha ya kukosekana kwa funguo zake; niliamua kupiga picha kwa kuchungulia dirishani na kufanikiwa. Ama kweli shule za kata zina mambo na vijambo; kama baabara hii inatumika kama tulivyo fahamishwa na walimu wa shule hiyo; kulikoni suala la kupata funguo liwe gumu kiasi cha kutuchukua zaidi ya dk 27 kusubiri na zisipatikane? Kuna jambo hapa! tulifanyie kazi!!                                                

Dodoma   bahari?            Na. Fullgence Makundi

Mkoa wa Dodoma ni Mkoa ulio katika orodha ya Mikoa ya nyanda kame ambayo hupata mvua zake kidogo sana kwa mwaka. Kutokana na hali hiyo ya hewa katika Mkoa wa Dodoma ndiyo maana wakulima wa Mkoa huu hulima mazao yanayo stahimili ukame kama karanga, mahindi, mtama, alizeti, ufuta mihogo na mazao mengine ambayo hayahitaji kiasi kikubwa cha mvua.Hali hii ya ukame katika mkoa huu inakatisha kabisa matumaini ya wakazi wa Mkoa huo kujihusisha na uwekezaji mkubwa katika Kilimo na kulazimika kujihusisha zaidi mana biashara za aina mbalimbali.
Kutokana na hali ya ukame wakazi wa Dodoma wanalazimika kuchimba visima vifupi vya maji na kuyatumia maji hayo yasiyo safi wala salama kwa shughuli mbalimbali za kila siku kama kufua, kuoshea vyombo, kuogea nk.Dodoma inafurahisha machoni kwa namna ambayo inaonekana kaika kipindi cha kiangazi. Adha pekee ambayo ni kero kwa wananchi wa Dodoma ni hali yake ya hewa ambapo joto kali inaloambatana na upepo mkali.

 

 

This page is kujuza many things that either you know or understand. Not bad if you consider the reflected and if you know them and know them and go kuwajuza others. Saaaaaaaana Mdau Welcome!

  Thus you know that out of 10 schools for which test negatively in the National Form Four in 2010, five out of these schools are from Dodoma? The schools are Changaa, Kolo, Kore, and Thawi Hurui. It does not matter but it does come from the district of Dodoma, what shall we do this year avoid embarrassment?

  • Changaa School which is among the five secondary schools for which the worst in the National Form Four examination in 2010, now has a total of only three students (3) to form four where two girls and one boy is just?

It was not limited to Changaa, this marks the end of Power tiller. How Ilitulazimu down the sidewalks to reduce the weight on the car.

  • During my visit to the school Changaaa on 4/04/2011 I came hiapo school where I managed to meet the school's student who was among three students of Form IV (iv) who attended school for that day. Hiuyo daughter was known by the name of Marwa Martin said he will continue with their studies until he graduated, when even if he remains alone in this class.

School Laboratory Pahi has keys but do not know ziliko?

You may not believe but it is reality that we find in the School District Pahi ambient Kondoa. In a surprise, all teachers at the school did not have the keys to the lab despite kujinadi laboratories have been used by students at the school. This is a laboratory room as seen that despite the lack of keys, I decided to photograph the window and looking to succeed. As county schools actually have things to matter, as this applies baabara as we are informed by the school's teachers; kulikoni matter of getting the keys to be hard enough to take us away more than 27 min wait to be unavailable? There is something here! We keep working!

Dodoma sea? And. Fullgence Groups

Dodoma Region is a region in the list of regions of the arid plains which derives its very little rain this year. Due to the weather conditions in Dodoma Region for this region farmers grow crops which suffer drought as peanuts, corn, sorghum, sunflower, sesame and cassava crops which do not require large amounts of rain. This region is very dry in hopes of engaging the residents of the region and greater investment in agriculture and have to concentrate more mana trading range.
Due to drought Dodoma residents are forced to dig wells in shallow water and use it without clean water and safe for everyday activities such as wash, washing, bathing nk.Dodoma interesting sight in a way that seems termed the season. Only Adha, which is a nuisance for the people of Dodoma is its air where temperatures inaloambatana wind.


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
May 25, 2012
This page is kujuza many things that either you know or understand. Not bad if you understand the reflected and if you know them and know them and go kuwajuza others. Welcome saaaaaaaana Mdau! – Despite the existence of the Convention on the Rights of People with Disabilities; A large number of people with disabilities still have a large group of characters reached with accurate...
This translation refers to an older version of the source text.
Google Translate
January 29, 2012
This page is kujuza many things that either you know or understand. Not bad if you consider the reflected and if you know them and know them and go kuwajuza others. Saaaaaaaana Mdau Welcome! – Thus you know that out of 10 schools for which test negatively in the National Form Four in 2010, five out of these schools are from Dodoma? The schools are Changaa, Kolo, Kore, and Thawi...
This translation refers to an older version of the source text.
Google Translate
May 2, 2011
This page is kujuza many things that either you know them or know them. Not bad if you know them and reminded them and if you know them and know them to go kuwajuza others. Saaaaaaaana Welcome member! – Thus you know that among the 10 schools for which test negatively in the National Form Four in 2010, five of these schools are from Dodoma? These schools are myself, Kolo, Kore, Hurui...
This translation refers to an older version of the source text.