| Base (Swahili) | English | 
|---|---|
| 
   Licha ya kuwepo kwa Mkataba wa Haki za watu wenye Ulemavu; Idadi kubwa ya watu wenye ulemavu bado kundi kubwa la wahusika hawajafikiwa na taarifa sahihi juu ya uwepo wa Mkataba huo. 
 Hivi unafahamu kwamba kati ya shule 10 zilizofanya vibaya katika mtihani wa Taifa wa kidato cha nne 2010; shule tano kati ya hizo zimetoka Dodoma? Shule hizo ni Changaa, Kolo, Kikore, Hurui na Thawi. Haijalishi zinatoka Wilaya gani ila ni za Dodoma; Tufanye nini kuepuka aibu hii mwakani? 
 Haikuwa kazi ndogo kufika Changaa; hapa Power tiller inakoma. Ilitulazimu kushuka kwenye gani na kutembea kwa miguu ili kupunguza uzito kwenye gari. 
 Shule ya Sekondari Pahi ina Maabara ila hawajui Funguo ziliko? Unaweza usiamini ila hiyo ni hali halisi tuliyo ikuta kwenye Shule ya Sekondari ya Pahi iliyoko Wilayani Kondoa. Katika hali ya mshangao; walimu wote wa shule hiyo hawakuwa na funguo za Maabara hiyo licha ya kujinadi kuwa wana maabara inayotumika na wanafunzi wa shule hiyo. Dodoma bahari? Na. Fullgence Makundi Mkoa wa Dodoma ni Mkoa ulio katika orodha ya Mikoa ya nyanda kame ambayo hupata mvua zake kidogo sana kwa mwaka. Kutokana na hali hiyo ya hewa katika Mkoa wa Dodoma ndiyo maana wakulima wa Mkoa huu hulima mazao yanayo stahimili ukame kama karanga, mahindi, mtama, alizeti, ufuta mihogo na mazao mengine ambayo hayahitaji kiasi kikubwa cha mvua. 
 
 | This page is kujuza many things that either you know them or know them. Not bad if you know them and reminded them and if you know them and know them to go kuwajuza others. Saaaaaaaana Welcome member! 
 
 
 It was not a small task to myself, here marks the end of Power tiller. To tulazimu downward on how to walk on foot to reduce weight on the car. 
 Secondary School Laboratories Pahi has keys but do not know ziliko?  You may not believe but that is the reality we find it in the Secondary School Pahi ambient Kondoa District. In a surprise, all the school teachers do not have the keys of the Laboratory in spite of expediency that have used laboratory and students of the school.  | 
| Translation History
 | 
 Hii ni Ofisi ya Walimu katika shule ya Msingi Mzula Wilayani Chamwino. Je wajua kwamba hapa ndipo wanakokaa Walimu na kufikiria namna ya kuboresha taaluma katika shule yao? Jiulize kama ofisi iko hivi, madarasa, madawati na vitendea kazi vingine vikoje?
Hii ni Ofisi ya Walimu katika shule ya Msingi Mzula Wilayani Chamwino. Je wajua kwamba hapa ndipo wanakokaa Walimu na kufikiria namna ya kuboresha taaluma katika shule yao? Jiulize kama ofisi iko hivi, madarasa, madawati na vitendea kazi vingine vikoje? 
 Hiki ni chumba cha maabara kama kinavyoonekana ambacho licha ya kukosekana kwa funguo zake; niliamua kupiga picha kwa kuchungulia dirishani na kufanikiwa. Ama kweli shule za kata zina mambo na vijambo; kama baabara hii inatumika kama tulivyo fahamishwa na walimu wa shule hiyo; kulikoni suala la kupata funguo liwe gumu kiasi cha kutuchukua zaidi ya dk 27 kusubiri na zisipatikane? Kuna jambo hapa! tulifanyie kazi!!
Hiki ni chumba cha maabara kama kinavyoonekana ambacho licha ya kukosekana kwa funguo zake; niliamua kupiga picha kwa kuchungulia dirishani na kufanikiwa. Ama kweli shule za kata zina mambo na vijambo; kama baabara hii inatumika kama tulivyo fahamishwa na walimu wa shule hiyo; kulikoni suala la kupata funguo liwe gumu kiasi cha kutuchukua zaidi ya dk 27 kusubiri na zisipatikane? Kuna jambo hapa! tulifanyie kazi!!                                                 Hali hii ya ukame katika mkoa huu inakatisha kabisa matumaini ya wakazi wa Mkoa huo kujihusisha na uwekezaji mkubwa katika Kilimo na kulazimika kujihusisha zaidi mana biashara za aina mbalimbali.
Hali hii ya ukame katika mkoa huu inakatisha kabisa matumaini ya wakazi wa Mkoa huo kujihusisha na uwekezaji mkubwa katika Kilimo na kulazimika kujihusisha zaidi mana biashara za aina mbalimbali. Kutokana na hali ya ukame wakazi wa Dodoma wanalazimika kuchimba visima vifupi vya maji na kuyatumia maji hayo yasiyo safi wala salama kwa shughuli mbalimbali za kila siku kama kufua, kuoshea vyombo, kuogea nk.Dodoma inafurahisha machoni kwa namna ambayo inaonekana kaika kipindi cha kiangazi. Adha pekee ambayo ni kero kwa wananchi wa Dodoma ni hali yake ya hewa ambapo joto kali inaloambatana na upepo mkali.
Kutokana na hali ya ukame wakazi wa Dodoma wanalazimika kuchimba visima vifupi vya maji na kuyatumia maji hayo yasiyo safi wala salama kwa shughuli mbalimbali za kila siku kama kufua, kuoshea vyombo, kuogea nk.Dodoma inafurahisha machoni kwa namna ambayo inaonekana kaika kipindi cha kiangazi. Adha pekee ambayo ni kero kwa wananchi wa Dodoma ni hali yake ya hewa ambapo joto kali inaloambatana na upepo mkali.