Log in

/ndanda/news: English: WI0005949E550CD000004326:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

4. UZINDUZI WA MAKTABA YA JAMII YA WEMA - MKALAPA

Tarehe 11 Julai 2009 iliambatana na tukio muhimu na la kihistoria katika kijiji cha Mkalapa. Kijiji cha Mkalapa kipo katika wilaya ya Masasi mkoani Mtwara. Kikundi cha Wanaharakati wa Elimu, Mazingira na Afya-WEMA walizindua rasmi Maktaba yao ya Jamii ya WEMA ambayo ina vitabu na machapisho zaidi ya 750.

Vitabu vilivyomo kwenye maktaba ya WEMA vimechangiwa na wafuatao; HakiElimu (machapisho na vitabu zaidi ya 150), Mratibu na mshauri wa kikundi Mr. Mussa P.M. Kamtande (amechangia vitabu na machapisho zaidi ya 450), pamoja na taasisi kama; Chuo cha Ualimu Mtwara (K), na Chuo cha Ualimu Mtwara (U), ambao kwa pamoja wamechangia machapisho yapatayo 150.

Katika picha hapa chini anaonekana Mwenyekiti wa Kikundi cha WEMA Mr. Fidelis Milanzi akiwa na mgeni rasmi Mr. Richard Lucas wakiangalia vitabu kwenye maktaba hiyo. Mgeni rasmi katika shughuli hiyo ni mwakilishi wa shirika la HakiElimu kutoka makao makuu Dar es Salaam. Anayeonekana kwa nyuma ni Mr. Boniventura Godfrey ambaye pia ni miongoni mwa wageni waliowakilisha shirika la HakiElimu siku hiyo ya uzinduzi wa maktaba. Maktaba ya WEMA ina vitabu vinavyokidhi viwango vyote vya kitaaluma kuanzia; elimu ya Awali, Msingi, Sekondari hadi chuo kikuu.Hivi sasa maktaba hiyo inatumia jengo la kuazima, lakini jukumu lililopo mbele yao ni ujenzi wa jengo la kudumu la WEMA kwa ajili ya maktaba. (Taarifa za uzinduzi wa maktaba ya jamii ya WEMA zilichapicha na magazeti mbalimbali yakiwemo gazeti la "The Citizen" la tarehe 17 Julai 2009 na Mwananchi la tarehe 15 Julai 2009)

4. LIBRARY OF SOCIAL launch of the good - MKALAPA

On July 11, 2009 was here accompanied by historic and important event in the village of Mkalapa. Mkalapa Village is in the district of Masasi in Mtwara. A group of activists of Education, Environment and Health-good they officially launched their Community Library, which has good books and more than 750 publications.

Library books on the good things in capital formation contributed to the following: HakiElimu (publications and more than 150 books), coordinator and advisor of the group Mr. Mussa PM Kamtande (books and publications he has contributed more than 450), along with such institutions, Mtwara Teachers Training College (K), and the College of Education Mtwara (U), which together have contributed almost 150 publications.

In the picture below appears EMA Group Chairman Mr. Fidelis Milanzi with special guest Mr. Richard Lucas gazing on the library's books. Special guest in this activity is representative of the organization's headquarters HakiElimu from Dar es Salaam. Seen from behind is Mr. Boniventura Godfrey, who is also among the guests who represent the organization HakiElimu day of the inauguration of the library. The library has good books vinavyokidhi all levels from professional, education, Primary, secondary to university. Right now it uses the building's library lending, but their role is located in front of the building of permanent construction of good for the library. (T let rifa the launch of the library community and good zilichapicha various newspapers, including the newspaper "The Citizen" The date July 17, 2009 and Citizen of 15 July 2009)


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
November 17, 2011
4. UZINDUZI THE LIBRARY OF THE SOCIETY OF KINDNESS - MKALAPA – On July 11, 2009 was here accompanied by an important and historic event in the village of Mkalapa. Village of Mkalapa is in Masasi district in Mtwara. A group of activists of Education, Environment and Health-KINDNESS officially launched their Community Library, which has good books and more than 750 publications. – The books in the library of the...
Google Translate
October 19, 2010
4. LIBRARY OF SOCIAL launch of the good - MKALAPA – On July 11, 2009 was here accompanied by historic and important event in the village of Mkalapa. Mkalapa Village is in the district of Masasi in Mtwara. A group of activists of Education, Environment and Health-good they officially launched their Community Library, which has good books and more than 750 publications. – Library books on the good things...
This translation refers to an older version of the source text.