Kuhusu
Peleleza
Tafuta
Jitolee
Mabadiliko
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Fungua
/jeanmedia/topic/22986
: Kiswahili
Asili
Kiswahili
Kama mapambano ya rushwa, ufisadi na Ukimwi yangepewa kipaumbele kama vile taifa lilivyopambana na ujinga(miaka ya 60), vita vya kagera (mwishoni mwa miaka ya 70),ulanguzi na uhujumu uchumi(miaka ya 80) naamini kuwa taifa letu lingekuwa mbali sana hivi sasa.
(Bila tafsiri)
Hariri
@BY SIMION SIMBUJILE (MTWARA KUTOKA SHIRIKA COMMUNITY BASIC EDUCATION FOR DEVELOPMENT (COBED)): Nakubaliana kabisa na wewe ndugu yangu. Maana mpaka sasa suala la ufisadi limekuwa ni kama hekeya na simulizi, kwa ajili ya kuburudisha uma. Halijachukuliwa kama tatizo linalohitaji kushughulikiwa. Lazima utafutwe ufumbuzi ili kurejesha imani ya raia ambayo kwa sasa imeathirika.
(Bila tafsiri)
Hariri
Ni kweli kwa sababu mgojwa hawezi kumtibu mgonjwa mwenzake.
(Bila tafsiri)
Hariri
kwa sababu wanaopaswa kuwawajibisha ni mafisadi wenzao.
(Bila tafsiri)
Hariri
Kwa nini Mafisadi hawachukuliwi hatua za haraka ili watanzania wawe na imani na serikali yao sio kama sasa inavyoonekana kama wanafugwa wakati wameihujumu nchi?
(Bila tafsiri)
Hariri
@BY SIMION SIMBUJILE (MTWARA KUTOKA SHIRIKA COMMUNITY BASIC EDUCATION FOR DEVELOPMENT (COBED)):
(Bila tafsiri)
Hariri
UFISADI TANZANIA
(Bila tafsiri)
Hariri