Log in

/TEYODEN/news: English

BaseEnglish
(image)(Not translated)Edit
(image)(Not translated)Edit
Zantel na TEYODEN wafanya programu ya ushirikiano ili kuwezesha vijana kuongeza kipato chao na kuwa na uwezo kukabiliana na changamoto za kimaisha. – Vijana wa kata ya kilakala wamefanya kikao cha pamoja na katibu mtendaji wa TEYODEN na mhamasishaji jamii wa kampuni ya ZANTEL.Lengo la kikao ni kufanya majadiliano ya pamoja na kukubaliana juu ya ushirikiano wa pamoja kati ya pende hizo mbili.mhamasishaji wa ZANTEL alieleza kuwa vijana...Zantel and TEYODEN make collaboration software to enable young people to increase their income and be able to cope with the challenges of life. – Young Ward kilakala have a meeting with the executive secretary of TEYODEN and community organizer of the company's ZANTEL.Lengo session is to talk together and agree on joint cooperation between the love of ZANTEL mbili.mhamasishaji explained that young people can join the company's phone and...Edit
MDAHALO WA VIJANA WARUDI KWA KASI MPYA NA MAARIFA ZAIDI. – Timu iliyoundwa kufanya uzinduzi wa mdahalo wa vijana uliobadilisha vikao vyake kutoka kila jumamosi na kuwa mara moja kwa mwezi ilifanya vizuri kwa kufikia 60% ya malengo yaliyowekwa katika kikao cha kamati ya utendaji cha TEYODEN cha hivi karibuni.Mdahalo huu uliohudhuriwa na vijana wapatao 70 na kuwezeshwa na bwana Ismail Mnikite ulifana sana ingawa ulichelewa kidogo kuanza.Mada ya mdahalo...YOUTH debate RAPID RETURN FOR MORE NEW AND SKILLS. – The team designed to launch the dialogue of the young was a difference from his sessions every Saturday and once a month did well to reach 60% of the targets set in the session of the executive committee of this karibuni.Mdahalo TEYODEN was attended by about 70 young people and enabled and Mr Ismail Mnikite you succeed too little too late though the debate was kuanza.Mada of participation and...Edit
Vijana kutoka TEYODEN wakiwa katika picha ya pamoja katika kikao cha Climate change Don Bosco upanga Dar-es-salaam – (image)(Not translated)Edit
Vijana TEYODEN washiriki maadhimisho ya Climate Change Don Bosco,Upanga Dar-es-salaa. – Vijana 20 TEYODEN ( wanaume 10 na wasichana 10) washiriki katika Maadhimisho ya climate change Tanzania yaliyofanyika katika viwanja vya – Don Bosco Upanga tarehe 8/11/2011 – Lengo la mkutano wa Mabadiliko ya hali ya mazingira – Kuwaaga vijana wa kitanzania ambao wataambatana na vijana wenzao kutoka...Youth participants TEYODEN celebrations Climate Change Don Bosco, Sword Dar-es-Prayer. – Youth TEYODEN 20 (10 men and 10 girls) participants in celebration of climate change held in the grounds of the Tanzania – Don Bosco Sword on 11/08/2011 – The purpose of the meeting of environmental conditions change – Leaving young Tanzanian who will accompany the young fellow from 13 countries around...Edit
(image) TEYODEN yafanya mafunzo ya VICOBA kwa wasichana 80 waliozaa chini ya umri na waliosahalika na jamii (Ma mama wadogo) kutoka katika kata 4 za Azimio,Mtoni,Kibada na Vijibweni.Pamoja na walengwa hao walikuwepo mentors(walezi wa wasichana katika kata) 16 nao wakipata elimu hiyo ya VICOBA.Mafunzo hayo yalitanguliwa na mafunzo ya mafunzo ya siku 2 kuhusu stadi za maisha na elimu ya ujasiriamali yaliyofanyika kwa wasichana katika kata nne za mradi zilizotajwa hapo...(image) TEYODEN done training VICOBA girls 80 who give birth under age and who sahalika and society (Ma mother scale) from the county 4 of the Declaration, the river, both by Vijibweni.Pamoja and beneficiaries were present mentors (guardians of the girls in the county) 16 and they have The education and training yalitanguliwa VICOBA.Mafunzo this 2nd day of training on life skills and entrepreneurship education for girls conducted in four wards of the project mentioned...Edit
Vijana washiriki maadhimisho ya siku ya ukimwi duniani yaliyofanyika tarehe 2 disemba 2011 viwanja vya Zakhiem Mbagala Charambe – Takribani vijana 60 wanachama na Viongozi wa mtandao wa vijana Manispaa ya Temeke wameshiriki maadhimisho ya siku ya Ukimwi Duniani ambayo mwaka huu yamefanyika katika viwanja vya Zakhiem kata ya Mbagala.Maadhimisho hayo yaliyopambwa kwa vikundi mbalimbali vya sanaa za ngoma na maigizo...Youth participants celebration of world AIDS day held on 2 December 2011 stadiums Zakhiem Mbagala Charambe – Presumably young 60 members and leaders of a network of young MC Temeke have attended the celebration of World AIDS Day, which this year has been made in the grounds of the Zakhiem ward Mbagala.Maadhimisho it yaliyopambwa for different groups of the art of dance and drama aimed at encouraging community...Edit
Pichani juu:Wanajamii wakipata maelezo kutoka kwa mweka hazina msaidizi wa TEYODEN bi Prisca Moses juu ya V.V.U/UKIMWI Katika maadhimisho ya siku ya Ukimwi duniani yaliyofanyika viwanja vya Zakhiem mbagala Charambe.Pichani chini:mama mwenye kofia Mgeni rasmi wa maadhimisho ya Ukimwi duniani Naibu Meya wa Manispaa ya Temeke akipata maelezo ya shughuli za TEYODEN kutoka kwa afisa habari wa TEYODEN bwana Hamphrey Shao. ...Pictured above: Communities receiving information from the treasurer assistant TEYODEN bi Prisca Moses on HIV / AIDS In observance of World AIDS Day held in the grounds of the Zakhiem Mbagala Charambe. Pictured below: mother's hat guest to mark World Aids Deputy Mayor Temeke Municipal been receiving information from the activities TEYODEN information officer of TEYODEN Hamphrey master Shao. – (image) ...Edit
MENTORS(walezi) wa wasichana wa mradi wa kujenga uwezo wa wasichana waliosahaurika wakiwa katika picha ya pamoja na msimamizi wa mradi,mratibu na wawezeshaji wa mafunzo hayo (image)(Not translated)Edit
Donation(Not translated)Edit