Log in

/jeanmedia/topic/66899: English

BaseEnglish
Tunawezaje kuifahamisha/kuielimisha jamii yetu kuhusu tatizo lililojificha/lililofichama,la udhalilishaji wa Kijinsia kwa wasichana – a) Tutatumia njia gani ili kutambua na kukabiliana na unyanyasaji wa kijinsia kwa wasichana ndani ya jamii zetu? – b)Je kuna mifano ipo katika jamii inayokuzunguka kuhusu tatizo hili kwa wasichana? – c) Je tatizo hili hutokea kwa sura gani? – Tafadhali...How can we INFORM / educate us about the problem hidden / lililofichama, Sexual abuse of girls – a) We will use how to recognize and deal with sexual harassment of girls in our society? – b) Are there examples exist in society inayokuzunguka about this problem for girls? – c) Does this problem occur in what shape? – Please contribute to this topic Jean-media to help us in our...Edit
@Rev. Japhet Aloyce (Nzega District Tabora Region): – Kuna njia nyingi za kutambua na kukabiliana na unyanyasaji wa Kijinsia kwa Wasichana. – Unyanyasaji kwa wasichana mara nyingine hufanywa pasipo kukusudia, wengi wakichukulia vitendo vya unyanyasaji kijinsia kuwa vya kawaida kiasi kwamba wazazi, ndugu, walimu, waajira, madaktari na hata watetezi wa binadamu hushiriki kukiuka haki za wasichana. – Njia mojawapo ya kutambua vitendo vya unyanyasaji kwa...@ Rev. Japhet Aloyce (Nzega District, Tabora Region): – There are many ways to recognize and respond to violence against girls. – The abuse of girls is sometimes done unintentionally, many assume that acts of sexual abuse so common that parents, relatives, teachers, cumin, doctors and even the defenders of human rights violations involved girls. – One way to recognize acts of violence against girls and do collaborative research with...Edit
@Sango Kipozi (Dar-es-salaam, Jeanmedia): – Unyanyasaji wa kijinsia bado ni mkubwa si ​​tu...@ Sango physician (Dar-es-salaam, Jeanmedia): – Violence gender still is great not ...Edit
Hapa ni FADECO RADIO,Karagwe. Suala la unyanyasaji wa kijinsia umeshika kasi katika wilaya ya Karagwe. Na kwa hapa, radio fadeco imeamua kufanya media campaign. Baado mikutano na wadau hapa wilayani inaendelea – Nipende kuwaalika wote wenye kuwa na la kuchangia in terms of advice kusaidia katika hili. Wasiliana nasi hapa@ – Sekiku Joseph – Radio FADECO – Email: ...(Not translated)Edit
UNYANYASAJI/UDHALILISHAJI WA KIJINSIA KWA WASICHANA KWENYE JAMII YETU.Abuse / sexual abuse FOR GIRLS IN OUR COMMUNITY.Edit