Base (Swahili) | English |
---|---|
Tunawezaje kuifahamisha/kuielimisha jamii yetu kuhusu tatizo lililojificha/lililofichama,la udhalilishaji wa Kijinsia kwa wasichana a) Tutatumia njia gani ili kutambua na kukabiliana na unyanyasaji wa kijinsia kwa wasichana ndani ya jamii zetu? b)Je kuna mifano ipo katika jamii inayokuzunguka kuhusu tatizo hili kwa wasichana? c) Je tatizo hili hutokea kwa sura gani? Tafadhali changia mada hii ili utusaidie Jean-media katika project yetu mpya ya kujaribu kutatua matatizao ya ukiukwaji wa HAKI ZA BINAADAMU katika jamii yetu. Tumeona tushauriane na wadau wenzetu wanaotumia envaya, wakati huo huo tukifwatilia habari hizi katika maeneo ya Mtwara Vijijini |
How can we INFORM / educate us about the problem hidden / lililofichama, Sexual abuse of girls a) We will use how to recognize and deal with sexual harassment of girls in our society? b) Are there examples exist in society inayokuzunguka about this problem for girls? c) Does this problem occur in what shape? Please contribute to this topic Jean-media to help us in our new project of trying to solve matatizao violations of human rights in our society. We have seen tushauriane and others who use envaya stakeholders, while we fwatilia this information in Mtwara Rural areas |
Translation History
|