Fungua

/tawa/post/98705: Kiswahili

AsiliKiswahili
Serikali ijiahidi kuliangalia suala la maji kama Dawasco wameshindwa,hivyo kuwepo njia mbadala ili kunusuru maisha ya watu hawa dhidi ya magonjwa ya mlipuko yanayoweza kujitokeza kutokana na hali hii.(Bila tafsiri)Hariri
Suala la miundo mbinu eneo hili linatakiwa kupewa kipau mele ili kuepukana na mafuriko vile vile kuwatengea maeneo mbadala ya kuishi kama ilivyo mabwepande kwa wahanga wengine wa wilaya ya kinondoni na Ilala ituimike pia na kwa wahanga hawa wa Temeke(Bila tafsiri)Hariri
Suala la maji na vyoo katika eneo hili linaonekana ni tatizo na hatarishi kwa maisha ya wakazi hawa ,hivyo msaada wa haraka unahitajika.(Bila tafsiri)Hariri
5}Vyanzo vya ubora wa maji kwenu yamepata athari gani kutokana na mafuriko? – Athari ni kubwa zinazotokana na mafuriko kwani maji tunayotumia ni ya visima hivyo kutokana na kubomoka kwa vyoo maji tunayotumai siyo salama kwa matumizi ya binadamu .vilevle tuko mabondeni hivyo maji machafu yanayotoka meaneo yaliyo kwenye miinuko na majalala ya kiholela uchanganyikana na maji tunayotumia,Hivyo hatuna jinsi ukizingatia maji ni uhai kwa binadamu tunalazimika kuyatumia wakati...(Bila tafsiri)Hariri
Add a commentOngeza maoniHariri
Your email:Email yako:Hariri
Your email address will not be published.Anwani yako ya email haitachapishwa.Hariri
Your location:Mahali ulipo:Hariri
%s said:%s alisema:Hariri
(optional)(sio lazima)Hariri
Publish commentChapisha maoniHariri
CommentsMaoniHariri
JanuaryJanuariHariri
{month} {day}, {year}{day} {month}, {year}Hariri
DiscussionsMajadilianoHariri