Base (Swahili) |
English |
Suala la miundo mbinu eneo hili linatakiwa kupewa kipau mele ili kuepukana na mafuriko vile vile kuwatengea maeneo mbadala ya kuishi kama ilivyo mabwepande kwa wahanga wengine wa wilaya ya kinondoni na Ilala ituimike pia na kwa wahanga hawa wa Temeke
|
The issue of infrastructure in this area should be bar Mele to avoid flooding as well as alternative places to live kuwatengea as mabwepande for other victims of the districts of Kinondoni and Ilala ituimike also for these victims of Temeke
|