Log in
Tanzania Sports and Culture Consultant Organization

Tanzania Sports and Culture Consultant Organization

MISUNGWI, Tanzania

Parts of this page are in Swahili. Edit translations

Tascco kuandaa safari ya kwenda Bujora sehemu ya Kihistoria iliyopo Jijini Mwanza siku ya Alhamis ya Tarehe 31.03.2011 Hii itahusisha Wanafunzi wa darasa la NneShule ya Msingi Mbugani pamoja na Walimu wao.Hii ni ziara ya kielimu kwani Tascco inahusiana na mambo ya Kiutamaduni.

March 29, 2011
« Previous Next »

Comments (1)

Amon Diba (Dodoma) said:
Ndiyo kwakua mnashughulika na suala la utamaduni mie kama mdau wa shughuli hiyo niko nanyi TASCCO
August 30, 2011

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.