Envaya

Tascco kuandaa safari ya kwenda Bujora sehemu ya Kihistoria iliyopo Jijini Mwanza siku ya Alhamis ya Tarehe 31.03.2011 Hii itahusisha Wanafunzi wa darasa la NneShule ya Msingi Mbugani pamoja na Walimu wao.Hii ni ziara ya kielimu kwani Tascco inahusiana na mambo ya Kiutamaduni.

29 Machi, 2011
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Maoni (1)

Amon Diba (Dodoma) alisema:
Ndiyo kwakua mnashughulika na suala la utamaduni mie kama mdau wa shughuli hiyo niko nanyi TASCCO
30 Agosti, 2011

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.