Envaya
Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

Tascco kuandaa safari ya kwenda Bujora sehemu ya Kihistoria iliyopo Jijini Mwanza siku ya Alhamis ya Tarehe 31.03.2011 Hii itahusisha Wanafunzi wa darasa la NneShule ya Msingi Mbugani pamoja na Walimu wao.Hii ni ziara ya kielimu kwani Tascco inahusiana na mambo ya Kiutamaduni.

29 Werurwe, 2011
« Inyuma Ahakurikira »

Ibitekerezo (1)

Amon Diba (Dodoma) bavuzeko
Ndiyo kwakua mnashughulika na suala la utamaduni mie kama mdau wa shughuli hiyo niko nanyi TASCCO
30 Kanama, 2011

Tanga igitekerezo

Izina ryawe:
Aho uherereye
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.