Fungua
support Lindi Community for development

support Lindi Community for development

LINDI, Tanzania

DHIMA

kuwaraghabisha na kuwawezesha watoto yatima walio katika mazingira magumu na jamii kwa ujumla ili waweze kuongeza kipato cha kila mtu,kwa kutunza mazingira kwa kutoa elimu na misaada kwa walengwa

DIRA

kuwa na jamii yenye afya bora uchumi imara na mazingira bora yanayowazunguka

Mabadiliko Mapya
support Lindi Community for development imeumba ukurasa wa Historia.
shirika la sulicode lilisajiliwa tarehe 26 october 2011 limeazimia kufanya kazi katika wilaya zote za mkoa wa lindi kama usajili ulivyo makao makuu ya ofisi yapo lindi mjini shirika limefanya utafiti juu ya ongezeko la watumiaji wa madawa ya kulevya .shirka limeazimia kutoa elimu kwa jamii juu ya tatizo hilo... Soma zaidi
13 Februari, 2013
support Lindi Community for development imeumba ukurasa wa Mkuu.
DHIMA – kuwaraghabisha na kuwawezesha watoto yatima walio katika mazingira magumu na jamii kwa ujumla ili waweze kuongeza kipato cha kila mtu,kwa kutunza mazingira kwa kutoa elimu na misaada kwa walengwa – DIRA – kuwa na jamii yenye afya bora uchumi imara na mazingira bora...
9 Februari, 2013
support Lindi Community for development imeumba ukurasa wa Timu.
MARIAM KAISI-------------MWENYEKITI – MAHMOUD CHEMBERA-----KATIBU – PENINA SIJAONA----------MWEKAHAZINA – FATUMA HAMIS MBEGA---MJUMBE – SAID MOHAMED----------MJUMBE – JOHN ELIAS---------------MJUMBE – ZUHURA KAYONJO--------MJUMBE – AMINA...
9 Februari, 2013
support Lindi Community for development imejiunga na Envaya.
9 Februari, 2013
Sekta
Sehemu