Parts of this page are in Swahili. Edit translations
DHIMA
kuwaraghabisha na kuwawezesha watoto yatima walio katika mazingira magumu na jamii kwa ujumla ili waweze kuongeza kipato cha kila mtu,kwa kutunza mazingira kwa kutoa elimu na misaada kwa walengwa
DIRA
kuwa na jamii yenye afya bora uchumi imara na mazingira bora yanayowazunguka
Latest Updates
support Lindi Community for development created a History page.
shirika la sulicode lilisajiliwa tarehe 26 october 2011 limeazimia kufanya kazi katika wilaya zote za mkoa wa lindi kama usajili ulivyo makao makuu ya ofisi yapo lindi mjini shirika limefanya utafiti juu ya ongezeko la watumiaji wa madawa ya kulevya .shirka limeazimia kutoa elimu kwa jamii juu ya tatizo hilo... Read more
February 13, 2013
support Lindi Community for development created a Home page.
DHIMA – kuwaraghabisha na kuwawezesha watoto yatima walio katika mazingira magumu na jamii kwa ujumla ili waweze kuongeza kipato cha kila mtu,kwa kutunza mazingira kwa kutoa elimu na misaada kwa walengwa – DIRA – kuwa na jamii yenye afya bora uchumi imara na mazingira bora...
February 9, 2013
support Lindi Community for development created a Team page.
MARIAM KAISI-------------MWENYEKITI – MAHMOUD CHEMBERA-----KATIBU – PENINA SIJAONA----------MWEKAHAZINA – FATUMA HAMIS MBEGA---MJUMBE – SAID MOHAMED----------MJUMBE – JOHN ELIAS---------------MJUMBE – ZUHURA KAYONJO--------MJUMBE – AMINA...
February 9, 2013
support Lindi Community for development joined Envaya.
February 9, 2013
Sectors
Location
LINDI, Lindi, Tanzania
See nearby organizations
See nearby organizations