Envaya
Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Icyongereza. Edit translations

large.jpg

AFISA Malihai Club of Tanzania(MCT)CHINI YA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII TOKA MAKAO MAKUU ARUSHA AKIMKABIDHI VYETI MKUU WA CHUO KWA WAHITIMU WA MWAKA WA TATU 2009/2012. WAKWANZA KUSHOTO NI MWALIMU MLEZI WA STEMMUCO MALIHAI CLUB

11 Mutarama, 2013
« Inyuma Ahakurikira »

Ibitekerezo (64)

KAVISHE (MTWARA) bavuzeko
hongereni sana na endeleeni hivyo hivyo katika harakati za utunzaji wa mazingira
10 Mata, 2013
Mbonde Fadhili (Mtwara) bavuzeko

Inapendeza sana,lakini isiishie hapo ni lazima tutazame mbele zaidi ili kutunza vyema mazingira yetu.

8 Gicurasi, 2013 (edited 8 Gicurasi, 2013)
motto sayi (STEMMUCO-mtwara) bavuzeko
Mimi kama mwenyekiti mpy wa malihai natoa wito kwa jamii ya stemmuco na wanajamii wote wa mtwara kuweza kutunza mazingira ili tuweze kuishi maisha mazuri,pia wito natoa wito kwa wanachuo waweze kujiunga na malihai ili pamoja tutunze mazingira
5 Ugushyingo, 2013
motto sayi (STEMMUCO-MTWARA) bavuzeko
Tunapoadhimisha kifo cha Mandela twapaswa kujiuliza kuhusu kizazi chetu cha baadaye kitakuja kurithi nini kama tunakuwa waharibifu wa mazingira?
Lets wake up for environmental conservation you people of Africa,! Africa is one, together we can make it happen! Long live malihai STEMMUCO,.
11 Ukuboza, 2013
Mramba Simba (STEMMUCO_MTWARA) bavuzeko
N ijukumunla kila Binadamu kuyatunza na kuyaheshimu mazingira kwani tunaishi kwayo na kama hatutayathamini nidhahili kuwa tunaweka rahani uhai wetu. Malihai kwa uhai wa viumbe vyote karibuni katika klabu yetu.
12 Ukuboza, 2013
Aaron katto (STEMMUCO-MTWARA) bavuzeko

Ingependeza sana kama unapokea cheti na unaendelea kutumikia na kuyatetea mazingira sioyo tu ndani ya stemmuco hata unakoenda, make mazingira ni mahali popote unapokuwa .Nawatakieni harakati njema katika kutetea na kulinda mazingira yetu.Na kwa wanaobaki endeleleeeni kulisongesha gurudumu huku mkiwajibika kuendeleza pale walikoishia wenzenu.

17 Mutarama, 2014 (edited 17 Mutarama, 2014)
sayi motto (SAUT mtwara) bavuzeko
malihai maana yake ni living entity,hivyo twapaswa kufanya kwa vitendo,tuwe mawakili wazuri wa malihai,motto.
26 Mutarama, 2014
william hyera (songea (manispaa) ) bavuzeko

mi naomba malihai club mtutembelee mkoa wa ruvuma maana tuna hamu kubwa yakuwa wanachama sasa atujui tufanyaje ili tujiunge

16 Werurwe, 2014 (edited 16 Werurwe, 2014)
jasson yamungu (mtwara) bavuzeko
Ni jukumu la kila mmoja kulinda na kutetea mazingira ikiwa ni pamoja na kulinda nyara zetu (tembo) wasiuawe.Together we can make it,Yamungu
14 Mata, 2014
Jasson Yamungu Kato (SAUT-Mtwara) bavuzeko
As we are about to vacate the place we call for majority accademicians and non-accademicians in and out of STEMMUCO to champion against misuse of our natural resources including wildlife so as to maintain an ecosystem.
24 Mata, 2014 (edited 24 Mata, 2014)
kiwandai elibariki (arusha) bavuzeko
naipenda sana malihai club tangu nikiwa O-level na A- level kwa kaz ya kuelmisha kuhusu utunzaj wa mazingira, endeleeni na moyo huo, msichoke, tupo pamoja
11 Gicurasi, 2014
jasson yamungu (via email) bavuzeko
Ok thanks ! Its our responsibility to keep our environment smart .hivyo tutajitahidi
13 Gicurasi, 2014
simba mramba (via email) bavuzeko
misitu ni uhai ilinde ikulinde
13 Gicurasi, 2014
Motto sayi (SAUT-MTWARA) bavuzeko
Kwa yeyote yule mwenye mapenzi mema na mazingira anayoishi ni busara sana kuyafanya yapendezeuweza kuyatunza kwa matumizi ya leo na kesho maana kizazi kijacho kinategemea sana tunayoyafanya leo.Lets conserve our environment for a better tomorrow.With thanks!
25 Gicurasi, 2014
MTUNDU FRANK F (MBUNGE -SHANGANI) bavuzeko
bila mazingira mimi sipo na bila mimi mazingira hayapo
21 Kamena, 2014
jasson yamungu (via email) bavuzeko
Thats real coz environment is all about our life!
21 Kamena, 2014
Anthony Living (Arusha) bavuzeko

Nafurahi sna ninapoona juhudi za kikundi cha mazingira STEMMUCO zinaendelea vizuri.Mimi ni waziri msaidizi wa kwanza wa mazingira STEMMUCO kuongoza kikundi hiki Das y nafurahi sana kuona mpo active,bado nipo kwny harakati za mazingira chini ya malihai na mnaweza mkanicheki kwny facebook (sfasm activisits) au namba 0782146878.Ahsanteni sna.

 

27 Kamena, 2014 (edited 27 Kamena, 2014)
david boniface kaganda (moshi-kilimanjaro) bavuzeko
I'm the leader of malihai club for smmuco moshi and also a youth coordinator of malihai. please i would like you to visit malijamii malihai youth club at facebook.. wish you all the best.
5 Nyakanga, 2014
ELIAMINI (KILIMANJARO) bavuzeko
JAMANI NA MIMI NATAKA KUANZISHA CLUB SHULEI KWANGU NIFANYEJE?
FORM KILIMANJARO MOSHI
6 Kanama, 2014
David (via email) bavuzeko
We ni mwanafunz wa fom ngapi,.

Envaya <web@envaya.org> wrote:
6 Kanama, 2014
Messanga Albinus (Saut-Mtwara) bavuzeko
watanzania hawapo tayari kutunza mazingira zaidi hufuata vyeti
2 Nzeli, 2014
David Kaganda (via email) bavuzeko
ni kweli na hata moyo wa kujitolea haupo tena. wanasahau kuwa kujitoa ni bora zaidi kuliko hata cheti cha maandishi. tunafanya haya kuwakumbusha na kuwaonyesha umuhimu wa kuyapenda, kuyatunza na kuyalinda mazingira yetu.
2 Nzeli, 2014
MTUNDU FRANK F (MTWARA .STEMMUCO) bavuzeko
DUNIA YA LEO INATAFUTA SANA WENYE MOYO WA KUJITOLEA WA KUTUNZA MAZINGIRA. VIJANA NAOMBA TUWAJIBIKE HASA KUPANDA MITI MFANO MZURI NI VIJANA WA NJOMBE NA IRINGA.
9 Ukwakira, 2014
Motto,sayi (mbeya(now)) bavuzeko
Naomba tupeane updates za malihai hpo chuoni,mwenzenu nipo Southern Highlands -Mbeya,nawapenda sana,thx jamani.By mwenyekiti msaafu,malihai,mott
10 Ugushyingo, 2014
ADOLPH LUCAS R, (DAR ES SALAAM) bavuzeko
Umoja na mshikamano tuliokuwa nao ndani ya Mali hai hakika umetujenga sana, kutuachia kumbukumbu ya kumkumbuka Rais wetu wa serikali Sadiki Katindasa, Mujungu na Feliciani bila kumsaau Saitabau,walianzisha kundi hili,Kavishe na kundi lilofuata kupokea kijiti hicho na badae kutukabidhi kijiti. mungu bariki chuo chetu
29 Ugushyingo, 2014
JEREMIA (Rungwe- mbeya) bavuzeko
MM MWALIMU WA MAZINGIRA NATAKA KUANZISHA MALIHAI CLUB SHULENI KWANGU NIFANYEJE? FROM MBEYA- josephmalulu400@gmail.com
15 Mutarama, 2015 (edited 15 Mutarama, 2015)
David Kaganda (via email) bavuzeko
habari za mbeya. natumaini mzima. je nikikutumia fomu ya usajili utaweza kuitoa na kuijaza na kisha kututumia tena sisi tukusajili.?
15 Mutarama, 2015
JEREMIA (MBEYA) bavuzeko
NDIYO TUNAWEZA KUIPRINT NA KUTUMA
15 Mutarama, 2015
JOSEPH MALULU (via email) bavuzeko
BRO ALHAMISI WIKI IJAO TUNAKAMILISHA KITU KAKA USITUCHOKE SISI NI WAHITAJI.
21 Mutarama, 2015
JOSEPH MALULU (via email) bavuzeko
BRO ALHAMISI WIKI IJAO TUNAKAMILISHA KITU KAKA USITUCHOKE SISI NI WAHITAJI.
21 Mutarama, 2015
David Kaganda (via email) bavuzeko
usijali. jiandaeni vizuri tu. 
21 Mutarama, 2015
David Kaganda (via email) bavuzeko
fomu ya usajili malihai clubs of tanzania. mtaijaza kisha kuituma tena ili tupeleke makao makuu mkasajiliwe na mpatiwe cheti chenu cha usajili.
31 Mutarama, 2015
JOSEPH MALULU (via email) bavuzeko
NDG.TUMETUMA EMAILI YA ILE FORM JE IMEFIKA?

2015-01-21 12:38 GMT -08:00, Envaya <web@envaya.org>:
13 Gashyantare, 2015
David Kaganda (via email) bavuzeko
kaka. email ambazo mimi nazitumia ni 2 tu yanid.kaganda@yahoo.com pamoja na malijamiitz14@gmail.com
nacheck hapa zote siioni email ya fomu. 
13 Gashyantare, 2015
JOSEPH MALULU (via email) bavuzeko
USIJALI KAKA KUNAJAMAA AMEDAI TULISCAN FONT KUBWA KWA HIYO TUTATUMA
TENA .WIKI IJAYO .SAMAHANI KWA USUMBUFU,TUSAMEHE

2015-02-13 5:16 GMT -08:00, Envaya <web@envaya.org>:
20 Gashyantare, 2015
David Kaganda (via email) bavuzeko
usijali. nyie tu jipangeni vema.
20 Gashyantare, 2015
JOSEPH MALULU (via email) bavuzeko
ASANTE KWA UVUMILIVU WAKO
21 Gashyantare, 2015
Godfather alfayo (Ndungu Ward at Same District) bavuzeko
  • mimi ni mwalimu wa mazingira jitengeni secondary school iliyoko Same. nahitaji kuwa na active club ya malihai ili tuweze kutunza mazingira yanayotuzunguka. pia napenda sana kutumia elimu yangu ya uhifadhi wa viumbe na wanyama (wildlife management) pamoja nanyi ili kupanua wigo wa uhifadhi katika mazingira yanayotuzunguka. je nita fanyeje ili kufanikiwa? hgeofrey@yahoo.com. phone No 0712717713
21 Werurwe, 2015 (edited 21 Werurwe, 2015)
JOSEPH MALULU (via email) bavuzeko
HONGERA SANA MWL.KWA KAZI YAKO YA UTUNZAJI MAZINGIRA.JE UMESAJILIWA NA
MALIHAI CLUB?

Tarehe 20/03/2015, Envaya <web@envaya.org> aliandika:
24 Werurwe, 2015
JOSEPH MALULU (via email) bavuzeko
HONGERA SANA MWL.KWA KAZI YAKO YA UTUNZAJI MAZINGIRA.JE UMESAJILIWA NA
MALIHAI CLUB?

Tarehe 20/03/2015, Envaya <web@envaya.org> aliandika:
24 Werurwe, 2015
JOSEPH MALULU (via email) bavuzeko
HONGERA SANA MWL.KWA KAZI YAKO YA UTUNZAJI MAZINGIRA.JE UMESAJILIWA NA
MALIHAI CLUB?

Tarehe 20/03/2015, Envaya <web@envaya.org> aliandika:
24 Werurwe, 2015
HASSAN GEOFREY (via email) bavuzeko
ndio shule hii imesajiliwa na malihai club na me ni katibu wa malihai club katika shule hii
26 Werurwe, 2015
HASSAN GEOFREY (via email) bavuzeko
26 Werurwe, 2015
David Kaganda (via email) bavuzeko
sawa mwalimu geofrey.. labda mawazo yako makuu ni nini.? Nnachoweza kukwambia ni kuwa. Jaribu kuwa mbunifu na jitolee kwa kazi mbalimbali za kijamii, ila kwa kila jambo ulifanyalo jaribu kuweka kumbukumbu kwa picha na hakikisha unatuma picha zako kwetu ili kuweza kutambua u active wako. hii itakusaidia kukuweka kinara na kukupa nafasi yeyote nzuri itakayotokea mfano, kimasomo zaidi au zawadi mbalimbali mpaka cheo.
26 Werurwe, 2015
JOSEPH MALULU (via email) bavuzeko
KAKA POLE NA MAJUKUMU YA KILASIKU, SAMAHAN HUJATUTUMIA NAMBA YA OFISI
YA MALIHAI CLUB MKOA MBEYA .ASANTE
21 Mata, 2015
HASSAN GEOFREY (via email) bavuzeko
kaka samahani me niko kilimanjaro same nilijua ii club inafanya kazi mikoa yote.ahsante
23 Mata, 2015
HASSAN GEOFREY (via email) bavuzeko
nakushukuru kaka kwa ushauri mzuri
23 Mata, 2015
Deogratius kivamba (iringa-mufindi) bavuzeko
mimi ni mwalimu wa idetero sekondari iliyopo mufindi pia nina cheti cha malihai nilicho pewa wakati nahitimu chuo kwaajili ya utunzaji wa mazingira pia ni mwalimu wa mazingira idetero sekondari,naitaji mawasiliano nanyi ya karibu sn ili kupewa majarida ya utunzaji wa mazingira na pia kutoa elimu ya kutosha jinsi ya utunzaji wa mazingira kwa wanafunzi ili wajue kwani nahamini mbinu za utunzaji hubadilika na huboreshwa kila siku.je nitawezaje kupata mawasiliano nanyi kwa ajiri ya kuwaomba mtutembele na pia mtupe ujuzi zaidi wa kutunza mazingira
24 Mata, 2015
Deogratius kivamba (iringa-mufindi) bavuzeko
namba yangu ya simu ni 0769711767
24 Mata, 2015
JOSEPH MALULU (via email) bavuzeko
ASANTE KWA NAMBA YAKO TUTAWASILIANA
27 Mata, 2015
ADOLPH LUCAS R, (DAR ES SALAAM) bavuzeko
Pamoja nashahuku yakutaka kujua maendeleo ya Malihai opochuoni STEMMUCO,lakini hasa nataka kujua kama miti mawe na bismark rock, majani ya uwanjani,yanatunzwa?
29 Mata, 2015
David Kaganda (via email) bavuzeko
ok ila mimi nipo smmuco na sio stemmuco.. na kwa maendeleo ya club yetu ya stefano moshi memorial university college, please visit in our page in facebook iitwayo, MALIJAMII MALIHAI YOUTH CLUB... Wish you all the best.
30 Mata, 2015
deo kivamba (via email) bavuzeko
sawa kiongozi
5 Gicurasi, 2015
cletus mbala (Tanga) bavuzeko
je naweza kutuma ripot yangu ya utendaji na shughuli ninazozifanya za utunzaji na uhifadhi wa mazingira kupitia email?
27 Gicurasi, 2015
David Kaganda (via email) bavuzeko
ndio waweza kutuma na ni nafasi nzuri sana kwako kujitamblisha kiutendaji
28 Gicurasi, 2015
JOSEPH MALULU (via email) bavuzeko
ASUBUHI NJEMA MPENDWA

2015-05-28 3:00 GMT -07:00, Envaya <web@envaya.org>:
31 Gicurasi, 2015
Deodatus Mbata (Makambako/Njombe) bavuzeko
Habari za kazi ..... mimi ni mhitimu wa shahada ya usimamizi wa Mazingira pia ni muandishi wa makala zinazohusu mazingira je naweza pata nafasi katika jarida lenu ili niwe mchangiaji wa maada mbalimbali.? Namba yngu ya simu ni 0752 47 47 54.
30 Werurwe, 2017
Deodatus Mbata (Makambako/Njombe) bavuzeko
Habari za kazi ..... mimi ni mhitimu wa shahada ya usimamizi wa Mazingira pia ni muandishi wa makala zinazohusu mazingira je naweza pata nafasi katika jarida lenu ili niwe mchangiaji wa maada mbalimbali.? Namba yngu ya simu ni 0752 47 47 54.
30 Werurwe, 2017
Deodatus Mbata (Makambako/Njombe) bavuzeko
Habari za kazi ..... mimi ni mhitimu wa shahada ya usimamizi wa Mazingira pia ni muandishi wa makala zinazohusu mazingira je naweza pata nafasi katika jarida lenu ili niwe mchangiaji wa maada mbalimbali.? Namba yngu ya simu ni 0752 47 47 54.
30 Werurwe, 2017
Anthony Living (via email) bavuzeko
Karibu sana ndugu,nafurahi kukufaham
--
Sent from myMail for Android Friday, 31 March 2017, 01:32AM +03:00 from Envaya web@envaya.org :
9 Mata, 2017
Dismas lyimo (Same) bavuzeko
Mimi ni mwl. Shule ya secondary vudee..same napenda sana kutunza mazinvira na uoto wa asili ila sijajiunga na malihai club je ndugu najiungaje? Anayefahamu awasiliane nami kwa 0753386887
27 Nyakanga, 2018
msami bm (lushoto,tanga) bavuzeko
Mimi ni mwalimu wa mazumbai s.s, nahitaji kuanzisha kikundi cha malihai shuleni, naomba maelekezo
3 Ukwakira, 2018
FRANK MTUNDU (MALINYI -MOROGORO) bavuzeko
TUPANDE MITI SANA WADAU
28 Gashyantare, 2019
Andrea wilson (Songea urban) bavuzeko
Jamani hongereni sana kwa kazi nzuri ya uhamasishaji wa utunzaji wa mazingira.
17 Kanama, 2020

Tanga igitekerezo

Izina ryawe:
Aho uherereye
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.