Kuhusu
Peleleza
Tafuta
Jitolee
Mabadiliko
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Fungua
NYENGEDI ENVIRONMENT DEVELOPMENT AND DISEASES CONTROL
Lindi Vijijini, Tanzania
Mkuu
Habari
Miradi
Historia
Timu
Mtandao
Majadiliano
Mawasiliano
Poleni wadau kwa kuwa mbali na ukurasa wetu. Tanzania kwasasa tumeyaingia mambo matatu mazito. Daftari la kudumu,katiba
na uchaguzi tunatakiwa tuchague yakuanza nayo. Lipi kati ya haya matatu linaweza kusubiri?
19 Aprili, 2015 na GODLISTEN
Poleni wadau kwa kuwa mbali na ukurasa wetu. Tanzania kwasasa tumeyaingia mambo matatu mazito. Daftari la kudumu,katiba
na uchaguzi tunatakiwa tuchague yakuanza nayo. Lipi kati ya haya matatu linaweza kusubiri?
19 Aprili, 2015 na GODLISTEN
Kwanini watanzania tulio wengi ni masikini hata wa mawazo.
(5)
Nakumbuka siku moja aliyekuwa Raisi wa Msumbiji wakati akiaga Watanzania...kipindi cha Mzee Mkapa alipokuwa akijibu hotuba ya Mkapa(ya Kiingereza) yeye alijibu kwa Kiswahili sanifu alisema huku akicheka."Maendeleo tunayoyafanya Msumbiji tumeiga...
5 Juni, 2012 na Albert
Juhudi kubwa zimefanyika kutokomeza ugonjwa wa malaria, lakini bado tunashuhudia maelfu ya binadamu wenzetu wakiteketea kwa ugonjwa huu. Je ni wapi sisi kama watanzania tunapokosea?
(2)
@Godlisten Msanapenda kuchangia katika hili tunapokosea sisi ni sehemu moja tu kwamba unatibu malaria baada ya kuangamiza mazalia ya mbu kwani ndio chanzo cha kuenea kwa malaria. vile vile elimu haitolewi ipasavyo...
18 Oktoba, 2011 na siagirltz@gmail.com
Majadiliano mengine kwenye Envaya
Ongeza Mada Mpya
Sambaza:
Barua pepe
Facebook
Twitter
Google+