Fungua
Nyakitonto youth for development Tanzania(NYDT)

Nyakitonto youth for development Tanzania(NYDT)

Head office:Kigoma ujiji,Buzebazeba ward,burega street,at mawen & Near Dr.livingstone lodge,p.o.box 890,Kigoma, Tanzania:dyouthkgm@yahoo.com.Hote line +255765794896,+255782990599.

large.jpg

Wawezeshaji wa semina wakimsikiliza DMO wilaya ya Kasulu anavyowaeleza wakina mama juu ya umuhimu wa kutumia misoprostol kwa usahihi kama wawezeshaji walivyoeleza.

large.jpg

Bi Petronilia kayago akisisitiza kuwa ni mhimu dawa zipatikane,Maana hospitali zimeisha.Ameomba NYDT/WPC NA PHI kutoa msaada wa dawa hizo

large.jpg

Mama muuza dawa katika kata ya Nyakitonto akinukuu dozi sahihi kwa ajili wa mama mlengwa wa dawa za miso.

large.jpg

Washiriki wa mafunzo wakifuatilia kwa makini.

large.jpg

Bi Mdaki akisisitiza matumizi sahihi na Kuwaomba wauza dawa waanze kuziuza kwenye maduka yao kama mkakati wa upatikanaji wa Dawa za miso-Kasulu Vijijini

large.jpg

Bi Edita K.Mdaki Mratibu wa Mradi akiwasilisha mada-Namna dawa za Miso-zinavyomsaidia mama aliyejifungua.

large.jpg

Muuza dawa Maarufu-Kata ya Nyakitonto akisikiliza na kusoma vitini Vyenye Taarifa za Miso.

large.jpg

Bwana Yohana musa Mbilizi WEO_ Kata Nyakitonto akisoma kwa Makini Taarifa sahihi na namna ya upatikanaji wa Misoprostol Ktk Wilaya ya Kasulu

large.jpg

Bi MWajabu Kigaza Mwandishi wa habari-Magazeti akifuatilia mafunzo.

large.jpg

Washiriki wa semina ya miso-wakifuatilia mafunzo