Log in
Nyakitonto youth for development Tanzania(NYDT)

Nyakitonto youth for development Tanzania(NYDT)

Head office:Kigoma ujiji,Buzebazeba ward,burega street,at mawen & Near Dr.livingstone lodge,p.o.box 890,Kigoma, Tanzania:dyouthkgm@yahoo.com.Hote line +255765794896,+255782990599.

Parts of this page are in Swahili. Edit translations

large.jpg

Ndugu RAMADHAN JOEL-MKURUGENZI NYDT akiwa Dodoma hotel ktk mafunzo ya Manage Your grant yaliyotolewa na The Foundation for civil society.

large.jpg

Ndugu siyaleo sadoki na Bi Mhina wakiwa ktk mafunzo ya kujengewa uwezo juu ya uongozi na utawala ktk csos-kigoma

large.jpg

Kulia ni Bi Francine-Mfadhili wa NYDT kutoka Public health Institute(PHI)

large.jpg

Mratibu wa mradi wa miso-Bi Edita mdaki akiandaa taarifa ya Utekelezaji baada ya kuendesha semina Kasulu.

large.jpg

Hii ndio ofisi ya Nyakitonto youth for development Tanzania ipo mtaa wa Burega,kata ya Buzebazeba,eneo la Maweni,karibu na Ilipo hoteli ya Dr.livingstone lodge.KWA YEYOTE MWENYE MAWAZO YA KUENDELEZA JAMII KWA NJIA YA KUJITOLEA ANAKARIBISHWA AJE KUSHIRIKIANA NASI AU APIGE 0765794896 POPOTE ALIPO ATAPEWA USHIRIKIANO.

large.jpg

Kibao hiki kinaonesha shughuli za ofisi kama kinavyoonekana.

large.jpg

Kushoto ni Bi Edita mdaki(Mratibu)akipata data za vifo vya mama na mtoto kutoka Hospitali ya Rufaa Mawen.Anayetoa data ni Bi.Ndalituke-Mkuu wa kitengo cha mama na mtoto mawen hospitol.

large.jpg

Kulia ni Bi Edita k Mdaki Mratibu wa mradi wa miso NYDT akiwa na Bi Sofia Nasibu wa KIWODE wakibadilishana uzoefu juu ya utekelezaji wa mradi kwa jamii ya Kigoma.

large.jpg

Afisa Tabibu akiahidi kushirikiana na wakunga kulipeleka mbele suala la Taarifa za miso-ili kila mwanamke anayehudhuria kliniki apewe mafunzo ya dawa za miso.

large.jpg

Afisa tabibu akifafanua jhambo na kuwaeleza wanawake wavae mabango kueneza walichojifunza ili kila mtu afikiwe na taarifa za miso.