Partner Organizations
Latest Updates
tanzania youth development foundation created a Team page.
1. Ndugu, George Benedict Mng`ong`o ------- Mkurugenzi Mtendaji wa TAYODEF – 2.Ndugu, Barnabasi Ndunguru --------- Katibu mkuu wa TAYODEF – 3.Ndugu, Thom Malenga ----------- Mtunza Hazina wa TAYODEF4 – 4.Ndugu, Michael... Read more
October 12, 2011
tanzania youth development foundation created a Projects page.
Tanzania youth development Foundation, Tuna fanya shuguli za Vijana Waliopo Shuleni na wale ambao Hawapo shuleni katika maeneo ya Elimu ya Afya ya uzazi kwa vijana ,kutunza Mazingira yaliyo Haribiwa kwa makusudi, kuwapa vijana Uelewa juu ya Haki za Binadamuna kutoa uelewana mafunzo juu ya jinsia kwa maisha ya jamii... Read more
October 12, 2011
TANZANIA YOUTH DEVELOPMENT FOUNDATION NI SHIRIKA LISILO KUWA LA KISERIKALI LILILO ANZISHWA MWAKA 1999 NA KUPATA USAJILI SO. NO. 10747. OFISI ZA SHIRIKA ZIPO MTAA WA SOKO STREET JENGO LA AKIBA HOUSE GHOROFA YA PILI CHUMBA NAMBA 202
October 3, 2011
tanzania youth development foundation joined Envaya.
Location: IRINGA MANISPAA, Tanzania
October 3, 2011