Parts of this page are in Swahili. Edit translations
Partner Organizations
Latest Updates

Hawa ni watoto yatima wanaoishi katika wilaya ya mvomero katika kata ya turian, shirika limechukua hatua ya kuwasomesha kwa sababu wanaishi na bibi yao ambaye hana uwezo wa kuwasomesha. baba yao aliye wazaa yupo hai lakini naye hajiwezi kwa sababu ni mlemavu wa miguu. Mwananchi yeyote ambaye ameguswa na hili na... Read more
February 14, 2013
Society for Women and AIDS in Africa created a Volunteer page.
Shirika la SOCOETY FOR WOMEN AND AIDS INA AFRICA (SWAA) linapenda kufanya kazi na watu mbalimbali wa kujitolea maeneo ya vijijini hasa wilaya ya Mvomero Wilaya hii ipo katika mkoa wa Morogoro, na kwa sasa shrika linaendesha mafunzo juu ya Haki za Binadamu hususani sheria za watoto. Elimu hii kwa sasa inatolewa katika kamati za shule, wazazi... Read more
November 11, 2012
Society for Women and AIDS in Africa created a Team page.
MUUNDO WA SHIRIKA LETU – Mkutano mkuu- kikao kinafanyika mara moja kwa mwaka – Kamati ya utendaji- kikao hufanyika kila miezi mitatu – Kamati ndogo ambazo ni ya fedha, mipango na kamati kuu inayo unganisha wenyeviti na makatibu wote wa kamati ndogo. ... Read more
September 12, 2011
September 4, 2011
Society for Women and AIDS in Africa has a new discussion about Request for financial assistance funds for construction of girls hostel in Hembeti - Mvomero Tanzania..
Prisca David. email:- swaamo@yahoo.com:
SOCIETY FOR WOMEN AND AIDS IN AFRICA (SWAA) – PROPOSAL ON CONSTRUCTION HOSTEL TO... Read more
August 21, 2011
Society for Women and AIDS in Africa created a constitition section.
KATIBA – SEHEMU YA KWANZA – JINA – SOCIETY FOR WOMWEN AND AIDS IN AFRICA – (SWAA)... Read more
August 21, 2011