Envaya
Parts of this page are in Swahili. Edit translations
Partner Organizations
Latest Updates
Hawa ni watoto yatima wanaoishi katika wilaya ya mvomero katika kata ya turian, shirika limechukua hatua ya kuwasomesha kwa sababu wanaishi na bibi yao ambaye hana uwezo wa kuwasomesha. baba yao aliye wazaa yupo hai lakini naye hajiwezi kwa sababu ni mlemavu wa miguu. Mwananchi yeyote ambaye ameguswa na hili na... Read more
February 14, 2013
Shirika la SOCOETY FOR WOMEN AND AIDS INA AFRICA (SWAA) linapenda kufanya kazi na watu mbalimbali wa kujitolea maeneo ya vijijini hasa wilaya ya Mvomero Wilaya hii ipo katika mkoa wa Morogoro, na kwa sasa shrika linaendesha mafunzo juu ya Haki za Binadamu hususani sheria za watoto. Elimu hii kwa sasa inatolewa katika kamati za shule, wazazi... Read more
November 11, 2012
Wanafunzi wa Sekondari ya Mziha wakisikiliza mragibishi akitoa elimu ya usafi na Uzazi kwa wanafunzi wa kike na wakiume mwezi wa tatu mwaka 2012 kama mpango wa kuelimisha jamii.
April 8, 2012
Mr. kervin kutoka (The Faundation For Civil Society) akiwapa maelekezo wawakilishi wa asasi ya (SWAA-MO).
September 13, 2011
MUUNDO WA SHIRIKA LETU – Mkutano mkuu- kikao kinafanyika mara moja kwa mwaka – Kamati ya utendaji- kikao hufanyika kila miezi mitatu – Kamati ndogo ambazo ni ya fedha, mipango na kamati kuu inayo unganisha wenyeviti na makatibu wote wa kamati ndogo. ... Read more
September 12, 2011
Mwenyekiti wa SWAA akitoa mafunzo ya mada kuhusu elimu ya ukimwi na afya kwa mtoto wa kike katika shule ya sekondari Mnziha 2011.
September 4, 2011
Prisca David. email:- swaamo@yahoo.com: SOCIETY FOR WOMEN AND AIDS IN AFRICA (SWAA)PROPOSAL ON CONSTRUCTION HOSTEL TO... Read more
August 21, 2011
kipeperushi cha shirika la SWAA kinachoonyesha nembo ya SWAA na kuonyesha picha za mafunzo ya elimu ya saikolojia kwa walezi wa watoto yatima na wale waishiyo katika mazingira magumu.
August 21, 2011
KATIBASEHEMU YA KWANZA JINA – SOCIETY FOR WOMWEN AND AIDS IN AFRICA – (SWAA)... Read more
August 21, 2011